Hapo mwanzo nilikuwa nikifikiri upigaji punyeto ni tabia iliyokithiri kwa upande wa wavulana tu,kumbe na wasichana ni wapiga punyeto wakubwa sana...hii nimethibitisha mwenyewe kupitia mtandao wa kijamii wa facebook,kutokana na hamu ya kujua ukweli wa swala hili ilinibidi kutengeneza account fake ya facebook nikijifanya na mimi ni mwanamke(naomba msinielewe vibaya hapa lengo langu lilikuwa ni kukamilisha research yangu tu).
Kusema kweli massage nyingi nilizokua nikipokea hasa nyakati za usiku zilikuwa ni za wasichana wakitaka tufanye kitu ambacho baadhi walikuwa wakikiita sex chat,(unachat kwa kuandika maneno ya kimahaba na ya kuamsha hisia)...nilikuja kujua zaidi kwamba mnavyokuwa mnachat yeye anashughulika kujichezea Maziwa na sehemu zake za siri mpaka anafikia keleleni,kupitia Utafiti huu nimegundua ni wasichana wengi sana wenye tabia hii, na wengi niliwauliza ni kwa nini wanafanya hivi walikuwa wakidai kuwa inawaepusha na magonjwa ya ngono pia wamechoshwa kutendwa na wanaume..asilimia kubwa walikuwa ni wanachuo na baadhi ni wasichana wa mtaani kwangu kabisa...Kwa utafiti huu nimeamini kweli "DUNIANI KUNA MAMBO"
Jamani usisahau kua mwanamke nae yeye pia anamoyo ivo!Yah ila imenishangaza na kuniacha mdomo wazi
Umejuwaje kuwa walikuwa wasichana na hawakuwa kama wewe uliyejidanganya?
Jamani usisahau kua mwanamke nae yeye pia anamoyo ivo!
Hujanisoma hapo mwishoni mkuu nimesema wengine ni wa kitaani kwangu kabisa,then wengine wako na picha zao kabisa.
mpk leo kuna wanaume wnaoshangaa kuwa wanawake nao wanamasturbate.......DUNIANI KUNA MAMBO....
Picha si unabandika tu. Sikatai kuwa wanawake wanakula ngunga kama kawaida tena pengine zaidi ya wanaume. Lakini hao uliosema wewe, kwanini isiwe ni feki?
Hii thread ya usiku watoto wakiwa wamelala nyie mmmeianza mchana huu?
KHaaaaaaaaaaaaaaa! hata sisi inawezekana ! Ama kweli DUNIANI KUNA MAMBO!
Haya vipi kuhusu hawa ninaowafahamu wa mtaani kwangu
Umewaona wao au picha zao?
Huyu jirani yangu anfanya mambo yake:
Eeehhh kumbe mie bado zilipendwa hii kitu siijui kabisa ndo naona leo mweheeee makubwa haya
Murongo wewe
Eeehhh kumbe mie bado zilipendwa hii kitu siijui kabisa ndo naona leo mweheeee makubwa haya
Hahaa Lisa tena nyie ni wataalamu sana inaonesha
Ila nyie hamfaidi kuliko wanaume, nyie sometime mnaweza kujiumiza au kujichubua kirahisi. LOL :nerd:
Umeona eh? Saa nyingine hizi makitu zinatufundisha mambo mabaya sana...Umejuwaje kuwa walikuwa wasichana na hawakuwa kama wewe uliyejidanganya?