Kupiga nyeto kwa wanawake

Kupiga nyeto kwa wanawake

Sababu ni nyingi zinazopelekea mambo haya, ila kwa ujumla nadhani ni bora tukajadili madhata, na kwa jinsi hii tutakuwa tumeelimisha jamii kwa ujumla.
 
«»Nidhamu ya kazi ni mafanikio bora kaziniii,viongozi na wafanyakazi lazima wote tuwe na nidhamuuu,migogorooo na migonganooo makazinii ni ukosefu wa nidhamu.

hahahahaaaaaa...!! King Kong umenifanya nicheke hapa...dah...! sasa huu wimbo umeingiaje hapa jamani...
 
Ndio maana nikawa njiuliza kwa nini mnaweka kucha za mamba
Sasa jibu nimepata hakuna wa kunidanganya

Hebu mwali niondoe mashaka kama na weye ni mwanachama
Ili nijipange vizuri kwa mwandani nikimpata
Hivi ina ladha sawia kama ile ya kawaida?
Kha! maswali mengine bwana!
 
Bora lipi..mpenzio/mkeo ajichue au atafute replacement pindi mnapokuwa mbali? Chagua. Lol.

Ila mambo ya dildo...mh labda kwa wale waso na wapenzi kabisa. Naona ni kuharibu maumbile tu.
 
Ndio maana nikawa njiuliza kwa nini mnaweka kucha za mamba
Sasa jibu nimepata hakuna wa kunidanganya

Hebu mwali niondoe mashaka kama na weye ni mwanachama
Ili nijipange vizuri kwa mwandani nikimpata
Hivi ina ladha sawia kama ile ya kawaida?

inazidi, unajikuna pale unapowashwa, unajijua ukijishika wapi unafika upesi, wanaume wengine hata umwelekeze vip, hata kusugua vizruri kama unavyojisugua mwenyewe, basi tu tunakuwa nao
 
Yes hayo ndo mambo ya akina mama wanapozidiwa na hamu je iyo njia wanayosema ndo wanaume watumie kuwafikisha kileleni au siyo ? I like it !
 
mzizi mkavu unataka tuanze kunyimwa sasa maana hawa wakiamua kuzira hawa watakimbilia huko hawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom