42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Kitendo cha gari kufeli brake sio kwamba ilikuwa neutral,
kuna suala la brake kupata moto iwapo mlima ni mrefu na dereva kashuka na gia ndogo (high) (eneo hili ndio linasababisha ajali nyingi sana kwenye malori na hasa kwa madereva vijana)
Pia kuna suala la kukatika kwa pipe za upepo au valve pia husababisha gari kufeli brake
Pia uchakavu wa magari hasa ma trailer haya ya mtumba haya muda wowote yanamwaga upepo
Kwa mfano gari hiyo iliyopata ajali senjere ni Leyland Daf (CF au XF)
gari hizi zinatatizo sana la valve kuvuja upepo.
Kingine inabidi pia kutanua hayo maeneo ya milima yote mkoani Mbeya hi I inasaidia kukwepa iwapo gari imefeli brake.....
Ni mtazamo wangu tu
I
Hapa umeongea kitu cha msingi mkuu