Kupiga kavu kavu ni noma..!

Kupiga kavu kavu ni noma..!

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,976
Wadau MMU,
Napenda kushare nanyi hili jambo na lichukuliwe kama ushauri na ONYO.
Stori yenyewe ipo hivi kuna watu wengi sana wanapoanza uhusiano wa kimapenzi huwa wakini kwenye kutumia KINGA aka Condoms lakini baada ya kuzoeana kidogo huanza kuacha na kujifariji tayari wamezoeana na kujiridhisha kuwa hana UKIMWI na kuanza kula MZIGO kavu kavu,huwa najiuliza hivi MACHO na maelezo yake mafupi yatosha kuamini kuwa hana NGOMA na GITAA lake..?
Jamani wandugu tuwe makini UTAMU wa siku moja usije kukupa majuto ya maisha yako yote,pia kama mtu humwamini na una KIU na ile kitu tumia Condoms mwanzo mwisho,sio unapiga bao moja na Condom la pili umeshamwamini unavua Condom..Aisee hiyo ni KWERE...!! Kama unanyongeza ya ushauri nk karibu tushare experience..!!
 
Well said mkuu!tahadhari kabla ya hatari!tafakari chukua hauta!
 
Ushauri mzuri...lakini kuna jambo tu nafikiria kivivu hapa, bila shaka kondomu zilitengenezwa kwa matumizi yafuatayo:

1. Kuzuia ujauzito kwa wanawake

2. Kujikinga na maambukizi dhidi ya HIV na STD's

Sasa hiyo nambari 2 ndiyo inayonifanya nifikirie kivivu kwa kutumia nadharia hii...

Kama mipira hii ilitengenezwa kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi,

Je walengwa ni kwa wale watu wenye mpenzi mmoja tu au wale wenye utitiri wa wapenzi?

Kama mtu ana mpenzi mmoja tu, kwa nini umtengeneze kinga, ajikinge kwa lipi?

NB:
Binafsi naona jambo la muhimu kusisitiza hapa ni UAMINIFU tu, huwezi kuvaa mpira katika muda wote wa mahusiano/ndoa.
 
Ebana nasikia hii miball ya kiume hawa wadhungu huwa wanaweka vidudu vya ngwengwe kutupunguza wabongo...ndo maana Nigeria washawahi kataa kontena la kondom za msaada....source story za kijiwen za madrychama
 
Ajabu sana takwimu zinaonyesha maambukizi mengi ya hiv n aids yapo kwa wanandoa, sasa sielewi hawa jamaa wanatoka nje na kupiga kavu kavu?
 
Ushauri mzuri...lakini kuna jambo tu nafikiria kivivu hapa, bila shaka kondomu zilitengenezwa kwa matumizi yafuatayo:

1. Kuzuia ujauzito kwa wanawake

2. Kujikinga na maambukizi dhidi ya HIV na STD's

Sasa hiyo nambari 2 ndiyo inayonifanya nifikirie kivivu kwa kutumia nadharia hii...

Kama mipira hii ilitengenezwa kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi,

Je walengwa ni kwa wale watu wenye mpenzi mmoja tu au wale wenye utitiri wa wapenzi?

Kama mtu ana mpenzi mmoja tu, kwa nini umtengeneze kinga, ajikinge kwa lipi?

NB:
Binafsi naona jambo la muhimu kusisitiza hapa ni UAMINIFU tu, huwezi kuvaa mpira katika muda wote wa mahusiano/ndoa.
unajuaje kama mpenzi wako mmoja nae hana mpenzi mwingine? think shem, think!
 
Kupiga na ndom daily nako kugumu..hasa mambo ya kulambana yanapokuwa ndio habari ya mjini.
Nashauri mu awe na mpenzi mmoja tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom