ha ha ha ukikumbuka vimeoo..................ukavuta picha!!
kupima shughuli pevu ndugu yangu
Ntakukokota na Greda la maníspaa ya Kinondoni. Utake usitake utapima tu.
unajuaje kama mpenzi wako mmoja nae hana mpenzi mwingine? think shem, think!
Ndio maana niliandika kuwa nimefikiria kivivu shemeg, hiyo room of possibility niliiacha open...
Wadau MMU,
Napenda kushare nanyi hili jambo na lichukuliwe kama ushauri na ONYO.
Stori yenyewe ipo hivi kuna watu wengi sana wanapoanza uhusiano wa kimapenzi huwa wakini kwenye kutumia KINGA aka Condoms lakini baada ya kuzoeana kidogo huanza kuacha na kujifariji tayari wamezoeana na kujiridhisha kuwa hana UKIMWI na kuanza kula MZIGO kavu kavu,huwa najiuliza hivi MACHO na maelezo yake mafupi yatosha kuamini kuwa hana NGOMA na GITAA lake..?
Jamani wandugu tuwe makini UTAMU wa siku moja usije kukupa majuto ya maisha yako yote,pia kama mtu humwamini na una KIU na ile kitu tumia Condoms mwanzo mwisho,sio unapiga bao moja na Condom la pili umeshamwamini unavua Condom..Aisee hiyo ni KWERE...!! Kama unanyongeza ya ushauri nk karibu tushare experience..!!
hahahaaa hii ilibidi uitoe karibia na weekend, ungeharibu appointment nyingi kweli............thanks Mpwa well said
mi nagonga kavu mwanzo kati mwisho....
Kama inawezekana ni bora kuacha uzinzi kabisa.
mie nitakuwepo wakati wa kupokea majibu ndio unakuwaga mtata zaidi
Usichukue condoms za kichina,chukua original kama huzijui uliza TBS na MSD..!hivi ukigundua kwamba condom imepasuka halafu ndo wakati uko katikati ya kilele (kileleni) utafanya nini?
kumbuka kwamba mtu uliyemchukua humwamini hata kidogo!
Siendi ng'o
k balaa. inachanganya sana.wacha 2 tupuputike. k tamu!
kupokea majibu ndio sheshe! kuna familia hiyo mdingi aligoma kwenda kupima, mwanamke kakomaa wakapime mwanaume kagoma, akaambiwa ahame chumbani mpaka hapo atakapokubali na kujua afya zao, miaka inakatika wanalala vyumba tofauti. chezeiya kupima shosti!