Wadau MMU,
Napenda kushare nanyi hili jambo na lichukuliwe kama ushauri na ONYO.
Stori yenyewe ipo hivi kuna watu wengi sana wanapoanza uhusiano wa kimapenzi huwa wakini kwenye kutumia KINGA aka Condoms lakini baada ya kuzoeana kidogo huanza kuacha na kujifariji tayari wamezoeana na kujiridhisha kuwa hana UKIMWI na kuanza kula MZIGO kavu kavu,huwa najiuliza hivi MACHO na maelezo yake mafupi yatosha kuamini kuwa hana NGOMA na GITAA lake..?
Jamani wandugu tuwe makini UTAMU wa siku moja usije kukupa majuto ya maisha yako yote,pia kama mtu humwamini na una KIU na ile kitu tumia Condoms mwanzo mwisho,sio unapiga bao moja na Condom la pili umeshamwamini unavua Condom..Aisee hiyo ni KWERE...!! Kama unanyongeza ya ushauri nk karibu tushare experience..!!
Sasa unataka kusema ukipata mpenzi ambaye umeanza nae mahusiano na hamkupima, na tayari alikuwa ameambukizwa Ukimwi utakusamehe kwa sababu utakuona upo na huyo kwa uaminifu?
Nshakuambia hapimwi mtu hapa. mi najiamini.
Acha Uvivu nisome tena hiyo haikuwa maana yangu...
hata wewe?
hahahaaaa umenichekesha ujue hasa ulivyoanza kumention jina lakeeee
we una mambo wallahi
Ha ha ha!!! wewe una miakili sana...kuanzia sasa nakubatiza kwa jina la JF kuwa Greti Thinka...na useme Amina...
attention le sida
Tunatumia condoms lakini tunafanya "oral" (koni/chumvini!) na hata kutumia vidole vyetu (hasa sisi wa kiume) bila kujali kama vidole vina michubuko ama la (na mingine ni unnoticeable kabisa!)...Jamani wandugu tuwe makini UTAMU wa siku moja usije kukupa majuto ya maisha yako yote,pia kama mtu humwamini na una KIU na ile kitu tumia Condoms mwanzo mwisho,sio unapiga bao moja na Condom la pili umeshamwamini unavua Condom.....