Aksante studio. Kuna mwingine ana pesa lakini hajui kuvaa, na kuna mwingine pesa ndo inampendezesha, kuna mwingine ana pesa kiasi cha mboga lakini anapendeza mbaya, naona kupendeza ni maujanja
Pesa ndio kila kitu,pesa inakufanya uwe na nuru usoni...
Kwangu pesa kwanza hata nikivaa malonyalonya nipo ndani ya vogue safi kuliko nipo smart suti kali moka safi then nachapa lapa jua mvua vumbi vyote vyangu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.