Habari kwa wanajukwaa wote. Tukiwa tunaugulia matokeo yaliyopatikana katika mchezo wa mpira wa miguu kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zambia tuliangazie hili jambo kwa ufupi kidogo.
Japo wengi watabisha ila ukweli ni kwamba moyo unapenda mara moja tu (tena humpenda mtu fulani tu), baada ya hapo hata ukimpata mtu mwingine na mkaanzisha mahusiano ambayo yanaonekana kuwa yenye afya mnaishia kuigiziana tu.
Kuna watu wengi wapo katika mahusiano lakini karibia robo tatu ya mioyo yao imegoma kutoka kwa watu waliowapenda kwa dhati hapo awali na wanajikuta wanavumilia tu ili kusongesha maisha.
Japo wengi watabisha ila ukweli ni kwamba moyo unapenda mara moja tu (tena humpenda mtu fulani tu), baada ya hapo hata ukimpata mtu mwingine na mkaanzisha mahusiano ambayo yanaonekana kuwa yenye afya mnaishia kuigiziana tu.
Kuna watu wengi wapo katika mahusiano lakini karibia robo tatu ya mioyo yao imegoma kutoka kwa watu waliowapenda kwa dhati hapo awali na wanajikuta wanavumilia tu ili kusongesha maisha.