Kupenda kukoje?

Wewe si unakitoto ulichokitoa bikra umekiri mwenyewe uwezi kukiacha,lazima mapenzi yalege kwa mkeo
Yaani mkuu huyo dem ni mzuri kweli lakini yeye ndo ameniganda mzee nakosa pa kupumulia ASA kumuacha nashindwa coz alishawahi sema nikimwacha nitaona
 

Am 44 now sjaona hizo reaction za kikemikali
 

Mmmhhhhh hapo juu kwenye bold, italic, underline..... Huwa ni kipindi cha mwanzo tuu.... Miezi 2-12 .... ikizidi sana miaka miwili ya mahusiano......... Sikumbuki kama hivi vitu vipo applicable kila wakati, kila saa miaka nenda rudi..... Majukwaa hapa yasingejaa malalamiko na vioja vya mapenzi kila kukicha.....!!!!
 

Watu wakisha ruka na kukanyagana vinabakia vimbwanga tu alaf watu wanasema kuna love ya jumla jumla hii ni full reja reja mnooo
 
Itabidi unipe darasa ili nami nipate kuyajua hayo mavituz,nipo tayari kulipia huduma hiyo tafadhali.
 
Never !!

Ushawahi kuona mtu anajua kuendesha baiskeli afu akastop kwa muda then akasahau totally..?

Yeyeyeye mdau kila siku zinakuja mbinu na mitindo huru yakufa mtu yaani usifnanishe na kitu kingine chochote huu mchezo unabadilika kuliko google wanavyobadili futures zake
 
Yeyeyeye mdau kila siku zinakuja mbinu na mitindo huru yakufa mtu yaani usifnanishe na kitu kingine chochote huu mchezo unabadilika kuliko google wanavyobadili futures zake
Wanawake bhanaa!!

Mwisho tutakuja kuwatoa vizazi....! Sio kila staili zinafaa ...! Zingine ukiziona sio lazima shemela akupe...
 
Wanawake bhanaa!!

Mwisho tutakuja kuwatoa vizazi....! Sio kila staili zinafaa ...! Zingine ukiziona sio lazima shemela akupe...

kitaalam kwa week mara 3 | inamaana kwa mwez ni mara 12 | ukihesabu night mbili morning long drive moja

unapata umekwea mara ngapi kwa mwez ? ila wanaume kaz tunayo asee ndio maana hata sazingine unakosa nafas ya kula viserengeti ratiba home unakuta imebana mbyaaaa

mdau hawa sio delicate kama unavyohisi πŸ˜€
 
Yaani kwa mwezi nigegede mara 12 ?

Mkuu unatoka mikoa ya pwani nini?

Samahani lakini
 
Yaani 12 in month...wife si atazaa kama mbuzi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…