saidjamali
Member
- Dec 3, 2016
- 66
- 22
Yaani mkuu huyo dem ni mzuri kweli lakini yeye ndo ameniganda mzee nakosa pa kupumulia ASA kumuacha nashindwa coz alishawahi sema nikimwacha nitaonaWewe si unakitoto ulichokitoa bikra umekiri mwenyewe uwezi kukiacha,lazima mapenzi yalege kwa mkeo
Kupenda ni ile hali ukimuona yule unaempenda kuna chemical/hormonal reaction kwenye mwili wako ambayo hata wewe huwezi kuielezea. Uko radhi kufanya chochote kwaajili ya yule unaempenda, hata ukiwa umekasirika ukisikia tu jina lake hasira inamalizika. Ni feeling moja amazing, pole sana kama hujawahi kuiexperience.
Yaani mkuu huyo dem ni mzuri kweli lakini yeye ndo ameniganda mzee nakosa pa kupumulia ASA kumuacha nashindwa coz alishawahi sema nikimwacha nitaona
Am 44 now sjaona hizo reaction za kikemikali
Nyie ndo vichaa tunao watafuta,Hili jjinga limeibukia wapi inahusu nini sasa kijani nini au umetumwa ?
Nyie ndo vichaa tunao watafuta,
Let's wait and see chemical reaction preavailing..... Hahaha
Hapana mkuu! Kitobo ni muhimu sanaHapo sawa nlijuwa eti umewasamee kabisa unaweza ukasahau hizo sarakasi eti
Ukimpenda mtu, unapomwona tu, moyo unaanza kudunda boom, boom, boom.... Na moyoni utakuwa radhi kumpa CHOCHOTE anachotaka. Nasema chochote maana ndivyo ilivyo-iwe ni nyumba au gari au chochote. Mpenzio asipokupigia simu siku nzima, lazima utataharuki. Na akisafiri unam- miss ile mbaya. Kama wewe ni mwanamke halafu feelings kama hizo hujawahi kuzipata, basi kitaalamu wewe unaitwa 'frigid' (yaani huna hisia bali ni 'baridi' kama friji). Kama wewe ni mwanaume, basi ni wale wanaoitwa 'players' - hatulii, anaonja kila kitu na hachagui. Mtu wa kawaida lazima anafika mahali anapenda kwa dhati. Mara nyingi mtu anayeshindwa kupenda kwa dhati ana jini mahaba linalomsumbua. Atajikuta anaota ndoto za ngono n.k. Duniani hakuna kitu kitamu kama kuwa na mtu anayekupenda na wewe unampenda-hakuna! Hata ukiwa na matrilioni ya dola kama huna mtu anayekupenda kwa dhati (sio kwa sababu ya pesa zako), utajiri wako ni bure. Yaani utamu wa kupendwa acha tu!!!!
Hapana mkuu! Kitobo ni muhimu sana
Mmmhhhhh hapo juu kwenye bold, italic, underline..... Huwa ni kipindi cha mwanzo tuu.... Miezi 2-12 .... ikizidi sana miaka miwili ya mahusiano......... Sikumbuki kama hivi vitu vipo applicable kila wakati, kila saa miaka nenda rudi..... Majukwaa hapa yasingejaa malalamiko na vioja vya mapenzi kila kukicha.....!!!!
Aisha mrembo,umenena kweli,basi jitahidi usomee Ukungwi na Ungariba ili utoe darasa la mautunduz.Maybe ulishaumizwa so umekata tamaa na hauna hamu ya kupenda tena.
Itabidi unipe darasa ili nami nipate kuyajua hayo mavituz,nipo tayari kulipia huduma hiyo tafadhali.Kupenda ni ile hali ukimuona yule unaempenda kuna chemical/hormonal reaction kwenye mwili wako ambayo hata wewe huwezi kuielezea. Uko radhi kufanya chochote kwaajili ya yule unaempenda, hata ukiwa umekasirika ukisikia tu jina lake hasira inamalizika. Ni feeling moja amazing, pole sana kama hujawahi kuiexperience.
Never !!ukifanya mchezo unaweza kusahau eti
Never !!
Ushawahi kuona mtu anajua kuendesha baiskeli afu akastop kwa muda then akasahau totally..?
Wanawake bhanaa!!Yeyeyeye mdau kila siku zinakuja mbinu na mitindo huru yakufa mtu yaani usifnanishe na kitu kingine chochote huu mchezo unabadilika kuliko google wanavyobadili futures zake
Wanawake bhanaa!!
Mwisho tutakuja kuwatoa vizazi....! Sio kila staili zinafaa ...! Zingine ukiziona sio lazima shemela akupe...
Yaani kwa mwezi nigegede mara 12 ?kitaalam kwa week mara 3 | inamaana kwa mwez ni mara 12 | ukihesabu night mbili morning long drive moja
unapata umekwea mara ngapi kwa mwez ? ila wanaume kaz tunayo asee ndio maana hata sazingine unakosa nafas ya kula viserengeti ratiba home unakuta imebana mbyaaaa
mdau hawa sio delicate kama unavyohisi π
Yaani 12 in month...wife si atazaa kama mbuzi sasa?kitaalam kwa week mara 3 | inamaana kwa mwez ni mara 12 | ukihesabu night mbili morning long drive moja
unapata umekwea mara ngapi kwa mwez ? ila wanaume kaz tunayo asee ndio maana hata sazingine unakosa nafas ya kula viserengeti ratiba home unakuta imebana mbyaaaa
mdau hawa sio delicate kama unavyohisi π