Kupatanisha wanandoa

Kupatanisha wanandoa

Bora hata ukauze madawa ya kulevya ikiwa umekosa kazi ya kufanya.hiyo taasisi unayotaka kuingilia ni ya watu wawili tu.namanisha huwezi kupatanisha watu ambao hawataki kupatana huna la kuwashauri huna la kuwafundisha huwezi kuwalazimisha wala kuwaomba etc.
 
Nafanya maandalizi ya kuanzisha mpango wa kupatanisha wanandoa,kwani magomvi miongoni mwao ni mengi sana na yanasababisha maafa mengi mno.Naomba mawazo yenu kuhusu jambo hili
Suluhu ya kweli huwa kati ya wawili.. Third part ni mmaliziaji tuu.. Ukiona umefanikiwa kupatanisha tambua wenyewe walishaanza huo mchakato
 
Mkuu mimi nakutia moyo. Naamini utafanikiwa. Zipo hizi ndoa changa, wanapendana lakini hawaelewi elewi mambo yanaendaje; hawa wanahitaji msaada wa ziada. Ni tofauti na zamani wanandoa walipewa semina na mwishowe wanafanya test kwa kujibu maswali.
 
Back
Top Bottom