Kupata mwanamke bikra sio kila kitu

Kupata mwanamke bikra sio kila kitu

family yake ,yeye ,mama yake wananipenda kweli yaani ila naona aibu sana ni story ndefu sometimes nadhani ndo maana siolewi nadhani jamaa kanilaani vile
Tafuteni nanyi mtapata, ombeni nanyi mtapewa.
 
Ukiwa na chance ya kupata gari brand new kutoka kutengenezwa na gari second hand utachagua lipi!?
Mi nadhani ni nature tu ya binadamu... Kitu kipya kinathaminiwa zaidi!!!
Ila wanaiotaka wasichana bikra kwa kigezo cha kutochepuka kwa mdada basi wanajidanganya!!! Wengine wanatamani sana kugegedwa ila kuna sababu zinawazuia kufanya hivyo na kutunza ubikra wao... Pale ambapo bikra itatolewa basi atataka alipize yote aliyokosa huko!!!

Kuna wengine wanapenda kutumia products kama laptop second hand!!! Zina tabia ya kuhimili misukosuko kuliko brand new products!!
Bikira ni utukufu kwa Mungu. Mengine ni mbwembwe tu.
 
Utoaye bikira ndiye mke wako halali katika mwili na Roho hii ni Kwa waamimi BIBILIA.NDIYO MAANA Mungu aliwaaambia waoe bikira siyo issue ya kuch
eat.cheating is a spirit of somebody
Wape neno, mtumishi.
 
family yake ,yeye ,mama yake wananipenda kweli yaani ila naona aibu sana ni story ndefu sometimes nadhani ndo maana siolewi nadhani jamaa kanilaani vile
njoo kwangu nikuoe umepata bahati sasa
 
Ukimkuta mwene bikra ni watu ambao they are there to stay, they always want to stick with you. Nadhani ingekua anaekutoa ndo mumeo asilimia ya wanawake kucheat ingekua ndogo saaana. Kwanza virgin hana comparison, si kibamia wala tango anaweza tu kucheza kulingana na muziki. Kumkuta mtu bikra sio kigezo kua hawezi kukuacha kama una tabia zisizovumilika, u don't care her, ur always busy, una mcheat wazi wazi, hum thamini... Lazima uachwe tu na hasa ukikuta mwanamke anaejitambua na anaweza simama mwenyewe labda kwa wale wa huko ndani vijijini ambao wanategemea kila kitu kutoka kwa huyo mumewe na ndo wale hata mumewe ampige na mapanga bado anarudi..
Huyo kaka anaetafuta bikra goodluck for him ila kama ana vitabia vya ajabu ajabu asitegemee hatoachwa kisa kaoa bikra. Of course we don't forget about our first but when a woman is fed up there's nothing you can do about it.
They can be fed up with you, but not with your money.
 
ni bora kuoa bikra kuliko beseni hata akitoka nje ya ndoa sio mbaya maana tayari ushafunga agano na yeye, lkn beseni ashafunga agano na aliyemtoa bikra. Ukioa mwanamke ambaye hana bikra jua umeoa mke wa mtu.
 
Mwanamke bikra ana hadhi yake,mimi nina uhakika kabisa ingekua kuna alama kua huyu ni bikra na huyu alishatumika,wanaume tuwe tunachagua,hakika bikra wangeolewa sana,hawa used washukuru hii kitu inaitwa bikra ni siri kumjua mtu,na wengine tunawabikiri tukiwa bado hatujajiandàa kuoa,laiti nipate bikra saa hizi,natangaza ndoa.Kama kucheat aanzie akiwa kwangu nasio mtu alishatumika,namba ya wanaume waliopita unabaki unahisi tu kua labda ni kumi au mia,mwanamke wa hivyo unamuoa tu ili kupata watoto.
 
Back
Top Bottom