Kupata mwanamke bikra sio kila kitu

Kupata mwanamke bikra sio kila kitu

Bikra ni utukufu wa mwanamke kwa Mungu wake,,...na wala sio kipimo cha mwanamke mwema..
Bi Khadija alikua mke mwema kwa mtume na alibashiriwa pepo na hakuolewa akiwa bikra..
 
uongo shost mm mara ya mwisho kuonana na aliyenitoa bikra sijui ni mwaka jana sijui juzi yaan unamuona kama kaka ako tu
mi sijawai kumuona miaka 5 sasa yupo uk ila alimtuma mama yake anisalimie anipe simu niongee nae maana ni majirani kijijini . bado ananipenda ila naona aibu kumrudia maana nilimuacha alikuwa chokest
 
mi sijawai kumuona miaka 5 sasa yupo uk ila alimtuma mama yake anisalimie anipe simu niongee nae maana ni majirani kijijini . bado ananipenda ila naona aibu kumrudia maana nilimuacha alikuwa chokest
hahahhh kweli aibu hiyo
 
family yake ,yeye ,mama yake wananipenda kweli yaani ila naona aibu sana ni story ndefu sometimes nadhani ndo maana siolewi nadhani jamaa kanilaani vile
usiseme hivyo kakulaani mdomo huumba ujue
 
Mimi kwanza nielimisheni, bikra nini o huwa vp?, na vipi hutoka o kutolewa?, hutoka kwa mda gani?, je inawezekana m/ke asiwe na uhakika km anayo o hana bikra. naombeni kujua coz i have contradiction n it.
 
Back
Top Bottom