Kupata mwanamke bikra sio kila kitu

Kupata mwanamke bikra sio kila kitu

Mie napita tu. Nina ushuhuda mkubwa ktk hili ila ngoja nikae kimya tu.
 
Ukimkuta mwene bikra ni watu ambao they are there to stay, they always want to stick with you. Nadhani ingekua anaekutoa ndo mumeo asilimia ya wanawake kucheat ingekua ndogo saaana. Kwanza virgin hana comparison, si kibamia wala tango anaweza tu kucheza kulingana na muziki. Kumkuta mtu bikra sio kigezo kua hawezi kukuacha kama una tabia zisizovumilika, u don't care her, ur always busy, una mcheat wazi wazi, hum thamini... Lazima uachwe tu na hasa ukikuta mwanamke anaejitambua na anaweza simama mwenyewe labda kwa wale wa huko ndani vijijini ambao wanategemea kila kitu kutoka kwa huyo mumewe na ndo wale hata mumewe ampige na mapanga bado anarudi..
Huyo kaka anaetafuta bikra goodluck for him ila kama ana vitabia vya ajabu ajabu asitegemee hatoachwa kisa kaoa bikra. Of course we don't forget about our first but when a woman is fed up there's nothing you can do about it.
 
Ukiwa na chance ya kupata gari brand new kutoka kutengenezwa na gari second hand utachagua lipi!?
Mi nadhani ni nature tu ya binadamu... Kitu kipya kinathaminiwa zaidi!!!
Ila wanaiotaka wasichana bikra kwa kigezo cha kutochepuka kwa mdada basi wanajidanganya!!! Wengine wanatamani sana kugegedwa ila kuna sababu zinawazuia kufanya hivyo na kutunza ubikra wao... Pale ambapo bikra itatolewa basi atataka alipize yote aliyokosa huko!!!

Kuna wengine wanapenda kutumia products kama laptop second hand!!! Zina tabia ya kuhimili misukosuko kuliko brand new products!!
Vitu vya mtumba hudumu zaidi aiseee
 
family yake ,yeye ,mama yake wananipenda kweli yaani ila naona aibu sana ni story ndefu sometimes nadhani ndo maana siolewi nadhani jamaa kanilaani vile
Mwenyekiti wa wanawake ambao wamesitisha swala kuliwa mpaka ndoa.. Ujana maji ya moto
 
Tunapenda bikra bcz unapomwona uliyemtoa u get a sense of manity. Kuna raha yake kuwa na mke uliemtoa bikra na utamu mkubwa upo whn unavyoitoa bikra yenyewe bcz it is so tight.
 
Hata km atakuacha ni ngumu kukusahsu kwasabab mmeshafanya maagano....hata akiolewa na MTU mwingine ukitaka papuchi lzm akupe
 
Bora tu uoe gumegume tu. Ujue mmbwa kala mbwa!
 
usiombe kupata bikra. watakupelekesha ka gari bovu kisa wao nia mabikra yani wasahau kabisa mabikra wana mategemea makubwa sana katika mahusiano ambayo hayako kihalisia
ndg acha kabisa...yani wao ndo wapanga mahali...eti oh yani mm niolewe kwa milioni mbili heli nikae nyumbani kisa umemkuta Nikita.kwanza visumbufu hakuna kuinjoy wala nn.
 
ndg acha kabisa...yani wao ndo wapanga mahali...eti oh yani mm niolewe kwa milioni mbili heli nikae nyumbani kisa umemkuta Nikita.kwanza visumbufu hakuna kuinjoy wala nn.
acha kabisa yani me sikutaka kuwasikia tena hao binadamu anataka apewe gari nyumba kisa ye bikra tena anataka umuoe kwa ngombe 20 hahahaha
 
wakuuu!
kuna hili jambo mimi naona kama watu wanataka kiniibia akili hapa!
hivi wewe kidume cha seed na akili zako za mapenzi bado unamtafuta msichana bikra
ukiwa na imani yako ya kizamani ukimtoa bikra hawezi kukuacha
Aaaah! kwanza kama kidume iyo ni dalili ya kukosa confidence!
wewe toa bikra yako upo geto na demu unavuja jasho beseni
lakini kama ubunifu wa mapenzi ukiisha mafisi wenye PhD na experience zao watamchukua tu!
eventually atakusahau kama wewe ndio mtoa bikra tukufu!
labda na wadada wa MMU nao walete uzoefu wao juu ya hili jambo


wakuuu!
Bikira ni hadhi, heshima, ufahari, na baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
 
Back
Top Bottom