Kupata free data on pc

Kupata free data on pc

flexer

New Member
Joined
Aug 27, 2018
Posts
1
Reaction score
0
Habari wana jf mi n mgeni ninaomba yeyote anaejua jinsi y kutumia intanet bure kweny pc nliona post zaman kuhusu ili suala ila ckuweza kufatilia kwa kina sababu c kuwa na pc. Msaada wenu jaman.
 
We una nia kupata net bure au umekuja kuchunguza kama bado kuna loopholes?. Tafuta njia nyingine.
 
Nenda magogoni watakuelekeza.

.fanya kazi piga pesa unga bando acha uduanzi. Vya bure vinatoa damu jombii.
 
hakuna data za bure hapa,jifunze kutafuta na kilipia huduma utumiazo.
 
ni bora kusonga mbele kuliko kurudi nyuma... japo nyuma kuna faida yake ila nakushauri songa mbele....
 
Habari wana jf mi n mgeni ninaomba yeyote anaejua jinsi y kutumia intanet bure kweny pc nliona post zaman kuhusu ili suala ila ckuweza kufatilia kwa kina sababu c kuwa na pc. Msaada wenu jaman.
Utakapoanza kutumia internet ya bure hao wanaoziuza watakula wapi,watt wao watasomaje na je, Taifa litapataje maendeleo kupitia kodi ya huyu mtu anauza vfrsh vya internate????
Ushauri wangu brthr nenda tu kanunue bando maana sikuzote vya bure vina madhara.
 
Back
Top Bottom