GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,409
- 10,614
Mimi nimemnukuu kama alivyosema au ulitaka nikuwekee alama ya funga semi na fungua semi kama naandika imla?Naona unajionesha wewe ulivyo na uwezo mdogo wa kuchakata mambo. Ni wapi nimebisha? Hivi kwanini mnapenda kukurupuka kama ngiri? Hukuona alama ? Au kwako haina maana?