Kupanga ni Kuchagua

Kupanga ni Kuchagua

RRONDO

Platinum Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
57,679
Reaction score
129,270
Poleni na starehe vijana. Kupanga ni kuchagua, sasa utaamua ununua IST huku unaishi kwa baba mwenye nyumba au kujenga kama haka huku unarudi kulala pazuri ukiwa kwenye daladala au bodaboda. Mjumbe hauawi.
Weekend njema.
 
Kosa nilifanya nilianza kujenga nyumba ya ndoto zangu (dream house) nikayumba katikati. Imenichukua muda mrefu sana kuijenga na bado haijakamilika nitakavyo.
Natamani ningepata ushauri kabla nikajenga nyumba ya kwanza ndogo ya gharama rahisi (Simple first house).
Najutia hili kosa.
 
Kosa nilifanya nilianza kujenga nyumba ya ndoto zangu (dream house) nikayumba katikati. Imenichukua muda mrefu sana kuijenga na bado haijakamilika nitakavyo.
Natamani ningepata ushauri kabla nikajenga nyumba ya kwanza ndogo ya gharama rahisi (Simple first house).
Najutia hili kosa.
Unajipinda unakuja kumaliza nyumba ishakuwa na muonekano wa kizamani.
 
Hapa nilitaka kusikia maoni ya watu. Hio gharama ya nyumba ya vyumba viwili (16m) ni realistic au ndio wale motivational speaker?
Alisema kuna wabongo wanauwezo mdogo wa kuchakata mambo...yeye mwenyewe (akajiita source) kasema nyumba kajenga kwa M16 wewe unakuja unabisha.
 
Kosa nilifanya nilianza kujenga nyumba ya ndoto zangu (dream house) nikayumba katikati. Imenichukua muda mrefu sana kuijenga na bado haijakamilika nitakavyo.
Natamani ningepata ushauri kabla nikajenga nyumba ya kwanza ndogo ya gharama rahisi (Simple first house).
Najutia hili kosa.
Kosa ni kujutia hayo mengine yote upo sawa vzr tu
 
Alisema kuna wabongo wanauwezo mdogo wa kuchakata mambo...yeye mwenyewe (akajiita source) kasema nyumba kajenga kwa M16 wewe unakuja unabisha.
Naona unajionesha wewe ulivyo na uwezo mdogo wa kuchakata mambo. Ni wapi nimebisha? Hivi kwanini mnapenda kukurupuka kama ngiri? Hukuona alama ? Au kwako haina maana?
 
Back
Top Bottom