Hapa nilitaka kusikia maoni ya watu. Hio gharama ya nyumba ya vyumba viwili (16m) ni realistic au ndio wale motivational speaker?Vita baina ya kununua gari na kujenga nyumba ndogo ya kuishi haitakaa iishe kwenye miji mikubwa Tanzania. Wilayani huko wala hawana hii dilemma.
Unajipinda unakuja kumaliza nyumba ishakuwa na muonekano wa kizamani.Kosa nilifanya nilianza kujenga nyumba ya ndoto zangu (dream house) nikayumba katikati. Imenichukua muda mrefu sana kuijenga na bado haijakamilika nitakavyo.
Natamani ningepata ushauri kabla nikajenga nyumba ya kwanza ndogo ya gharama rahisi (Simple first house).
Najutia hili kosa.
Muonekano wa kizamni ndio mzuri sasa ,sio haya ya kwenu mnajenga paa ndefu la kufugia mapanyaInakuna kumaliza nyumba ishakuwa na muonekano wa kizamani.
Aah wapi unaweza kujenga nyumba kama za ilala na kariakoo zile chumba chumba katikati korido ndefu mlango mlango mwisho na mwanzo.Muonekano wa kizamni ndio mzuri sasa ,sio haya ya kwenu mnajenga paa ndefu la kufugia mapanya
Alisema kuna wabongo wanauwezo mdogo wa kuchakata mambo...yeye mwenyewe (akajiita source) kasema nyumba kajenga kwa M16 wewe unakuja unabisha.Hapa nilitaka kusikia maoni ya watu. Hio gharama ya nyumba ya vyumba viwili (16m) ni realistic au ndio wale motivational speaker?
Kosa ni kujutia hayo mengine yote upo sawa vzr tuKosa nilifanya nilianza kujenga nyumba ya ndoto zangu (dream house) nikayumba katikati. Imenichukua muda mrefu sana kuijenga na bado haijakamilika nitakavyo.
Natamani ningepata ushauri kabla nikajenga nyumba ya kwanza ndogo ya gharama rahisi (Simple first house).
Najutia hili kosa.
Naona unajionesha wewe ulivyo na uwezo mdogo wa kuchakata mambo. Ni wapi nimebisha? Hivi kwanini mnapenda kukurupuka kama ngiri? Hukuona alama ? Au kwako haina maana?Alisema kuna wabongo wanauwezo mdogo wa kuchakata mambo...yeye mwenyewe (akajiita source) kasema nyumba kajenga kwa M16 wewe unakuja unabisha.