VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
ATCL kuwa na connection duni kwenda Kia toka Kanda ya Ziwa. Garama juu na muda zaidi ya masaa 8 ama siku kwa route ya saa moja! Hata wasio wataalam walishauri tuanze focus ndege ndogo na za kati kwa usafiri wa ndani na majirani.
Bora hata Precision route zao wapo makini na udogo wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora hata Precision route zao wapo makini na udogo wao.
Sent using Jamii Forums mobile app