Kupandishwa cheo sio hisani

Kupandishwa cheo sio hisani

zunya

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
1,529
Reaction score
1,073
Nmesikiliza vizuri hotuba ya mama aliyoitoa akiwa ziara Jeshi la Magereza Tanzania. Hotuba ile ukiachana na mambo mengine amezunguzia juu ya kutoajiri askari wapya na kuongelea juu ya suala la upandishwaji vyeo kwa askari na maafisa wa jeshi hilo.

Akaenda mbali kwa kjjinasibu kua yeye ndio mpandishaji vyeo, ana akiamua hatapandisha vyeo askari yeyote yule kwa sababu kutakua na wingi wa askari wenye vyeo na watendaji watapungua.

Ukienda fikiria kwa undani kabisa, ni kwamba askari hawa hawataweza kupanda mshahara kwa sababu, ili mtu apande mshahara ni lazima apande cheo, ukimnyima haki yake ya msingi ya kuoanda cheo maana yake ni kua umemnyima haki yake nyingine ya kupanda daraja la mshahara.

Sheria ziko wazi, kua mtumishia wa uma lazima apande cheo labda akiwa na matatizo yake yanayomnyima fursa ya kupanda cheo, ili si maono ama busara ya mtu kumpandisha mtu cheo, kupanda cheo sio hisani ila ni takwa la kisheria.
 
Wakati hawajapanda vyeo walikuwa wanatosha (idadi), wamepandishwa vyeo, hawatoshi. Idadi imepungua? What is the logic behind? Hiyo ndio reason anayohoji mama!
 
Mjinga ni nani?

Mjinga ni mtu asiyejua jambo fulani, katika hilo jambo tunamuita mjinga!

Sheria, kanuni na taratibu zinaeleza wazi utaratibu wa mtumishi kupanda cheo.

Hakuna sehemu taratibu hizo zinaeleza kuwa 'bi tozo' atajiamulia hayo.

Ukiwa mjinga unaweza kujielimisha au kuelimishwa ukawa mwerevu ukaondokana na ujinga wako.

Ukiwa mjinga ukaelimishwa ukagoma kuelimika tunakuita mpumbavu!


Nimemsikia muosha magari mmoja akiropoka hapa
 
Wakati hawajapanda vyeo walikuwa wanatosha (idadi), wamepandishwa vyeo, hawatoshi. Idadi imepungua? What is the logic behind? Hiyo ndio reason anayohoji mama!
Na ndio ukweli wenyewe,kwamba eti wakiwa na vinyota wasiende lindo.

This nonsense should be stopped immediately.
 
Utumishi wa umma ni utumwa kwa wanasiasa..hasa nchi isiyo heshimu katiba kama tz.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom