Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,976
- Thread starter
- #21
Kama zilivyo biashara nyingine,faida huwa haikosekani,japokuwa ni kidogo sana kwa watanzania,huwa tunapata pesa za kuendesha familia kutoka kwa wageni wa nje ya nchi.Tanzania Tours Directory
Kwenye hyo 350k kuna kahela kake ka juu watot wake wasife njaa-njie mnaofa hyo safar ya mliman mnatoka kampun gan?