Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Hii ni Serikali ya Wanyonge tena wafia uongozi imara wa JPM. Kuna suala la kupanda kwa vifaa vya ujenzi ikiwemo na Nondo.
Sasa ukiangalia maeneo ya Bandarini kuna shehena ya mabehewa ya TRC yamejiozea tu pale na kuleta uchafu kwanini wasiuze kwa wenye viwanda vya kutengeneza nondo. Pia ije na mkakati wa kusafisha gereji bubu kwa kutoa vyuma chakavu vyote na kupeleka viwandani.
Sasa ukiangalia maeneo ya Bandarini kuna shehena ya mabehewa ya TRC yamejiozea tu pale na kuleta uchafu kwanini wasiuze kwa wenye viwanda vya kutengeneza nondo. Pia ije na mkakati wa kusafisha gereji bubu kwa kutoa vyuma chakavu vyote na kupeleka viwandani.