Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,353
- 6,969
Gari ikishakua piston 3 kwangu nahisi kama naendesha pikipiki tu. Nilikuaga na suzuki kei piston 3 cc650 kwa namna ilivyokuja kunisumbua mpaka nimekuja kupata mteja nikauza nilienda kutoa sadaka kabisaSio kweli.
Sema mie yangu ni piston 4, 1290cc tofauti na hizi zenye piston 3, 990cc wanazozisema sana.
