Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,184
- 88,929
Wakuu Habari.
Nimekuwa nikipaka rangi kwa mafundi wa hapa na pale kila ninapopata tatizo la body ya gari.
Hii imepelekea gari kuwa na rangi tofauti tofauti mfano mlango unakuta rangi imekolea upande mwingine imepauka etc. Pia wamekuwa wakijaza sana “puti” sasa imeanza kubanduka banduka na kuvimba vimba.
Nataka kupaka rangi loote. Gari ni Collora jeusi (metallic black).
Nilienda gereji kwa wachina pale Tazara kwa mbele (Sokota) roughly wakasema Mil 1.7 itagharimu. Na huduma itakua ni full rangi, full body repair, na marekebisho madogo madogo ya body. Ila wakasema ikitoka itakuwa kama imetoka kiwandani.
Sikufanikiwa kuona sample za kazi zao. Kwakuwa nilienda siku ya sikukuu so nilikutana na muhusika nje tu.
Naomba mwenye uzoefu au ushauri wa mahala ninapoweza kupata hii huduma kwa hali ya juu. Kwa bei rafiki zaidi.
Shukrani.
Nimekuwa nikipaka rangi kwa mafundi wa hapa na pale kila ninapopata tatizo la body ya gari.
Hii imepelekea gari kuwa na rangi tofauti tofauti mfano mlango unakuta rangi imekolea upande mwingine imepauka etc. Pia wamekuwa wakijaza sana “puti” sasa imeanza kubanduka banduka na kuvimba vimba.
Nataka kupaka rangi loote. Gari ni Collora jeusi (metallic black).
Nilienda gereji kwa wachina pale Tazara kwa mbele (Sokota) roughly wakasema Mil 1.7 itagharimu. Na huduma itakua ni full rangi, full body repair, na marekebisho madogo madogo ya body. Ila wakasema ikitoka itakuwa kama imetoka kiwandani.
Sikufanikiwa kuona sample za kazi zao. Kwakuwa nilienda siku ya sikukuu so nilikutana na muhusika nje tu.
Naomba mwenye uzoefu au ushauri wa mahala ninapoweza kupata hii huduma kwa hali ya juu. Kwa bei rafiki zaidi.
Shukrani.