Uchumi bado mkuu
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.
Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.
Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana
Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?



Imani za ulozi hizo.Maana ya ndoto hiyo ni kwamba kuna mtu anakurudisha nyuma kwa kutumia ushirikina. Kama zinakukuta wahi mapema atakuharibia. Anakuloga ili usiendelee
Ukiomba maombi ya kukataa ndoto hizo na hali ngumu unayopitia hakikisha unaambatanisha maombi na sadaka, usipuuze hili mkuu.Huko kwenye maombi nafikiri nimemaliza maombi yote..waganga siwaamini sana
Ukiomba maombi ya kukataa ndoto hizo na hali ngumu unayopitia hakikisha unaambatanisha maombi na sadaka, usipuuze hili mkuu.
Ikiwezekana funga hata siku 3 ukifanya maombi ya kukataa hizi ndoto na ambatanisha maombi yako na sadaka......
Sadaka ina nguvu kubwa mno.

sana bossUkiomba maombi ya kukataa ndoto hizo na hali ngumu unayopitia hakikisha unaambatanisha maombi na sadaka, usipuuze hili mkuu.
Ikiwezekana funga hata siku 3 ukifanya maombi ya kukataa hizi ndoto na ambatanisha maombi yako na sadaka......
Sadaka ina nguvu kubwa mno.
nitalifanyia kazi hili.Sayari ya tatu si Dunia (Earth)?Ndoto muda mwingine sio za kuziamini maana kama jambo ambalo unalipenda sana kulifanya nna umekaa nalo kwa muda mrefu mara nyingi huwa linakutokea katika ndoto mfano mm napenda sana elimu ya astronomy kila siku usiku lazima nikague nyota zote angani na sayari mfano mwezi huu nafuraia sana kuona sayari tatu angani kwa macho yangu ambayo ni venus Jupiter na mars sasa kitendo hiki cha kupenda elimu ya nyota inanipelekea kuota sana mambo ya anga mara nyingi naoota nakuwa napaaaa naenda juuu natoka nje ya dunia yetu naenda mpk sayari nyingine huko mpk katika mwezi na sayari nyingine ktk ulimwengu mwingine naiona dunia ile sasa shida inanikuta njia ya kurudi duniani siiujui naanza kulia naamka![]()
soma vizuri sayari tatu sio sayari ya tatu maana sayari tatu zinaonekana kwa wazi huu mwezi yaan Jupiter venus na mars zipo clear visibleSayari ya tatu si Dunia (Earth)?
DahMaana ya ndoto hiyo ni kwamba kuna mtu anakurudisha nyuma kwa kutumia ushirikina. Kama zinakukuta wahi mapema atakuharibia. Anakuloga ili usiendelee