Kuota ukiwa shule

Kuota ukiwa shule

Au siku ya Necta unajikuta umechelewa kuingia chumba Cha mtihani mbaya zaid hujui hata room unayofanyia mtihani mazingira kimyaaa kuashiria mtihani ushaanza hujui hata umuulize nani.
 
Ndoto ya primary mda mwingine inamaanisha una msingi mbovu sana wa kifikra juu ya jambo ambalo unataka kulifanya, na ukilifanya utafeli

Ndoto ya shuleni juu ya somo husika ni fumbo ambalo limefichwa kwenye fikra zako na lina nafasi kubwa sana ya wewe kufanikiwa inamaana mafanikio yako kwenye maisha yanategemea sana wewe kulitatua hilo fumbo

Mara nyingine ndoto ya uko shuleni maana yake mafanikio yako yanakwamishwa sana kwenye fikra zako juu eneo ambalo unaloota

Mim nilikua naota nafail mtihani wa hesabu almost more than 100 times au naingia kwenye mtihani ila naibia wenzangu ila still hili fumbo bado sijaweza lifumbua

Na pia nilikua naota ndoto nafail masomo ya kiswahili na kingereza nashukuru Mungu hii nimeweza kutatua hili fumbo au kutegua hiki kitendawili
Mkuu type uzoefu kuhusu kutatua hivo vitendawili
 
Hamna ambae haoti hizo ndoto, alafu hao watafsiri ndoto ni waongo kichizi yaani... ipo hivi ukijiona kwamba ulipo ni kwa sababu hukusoma basi utaota masuala ya shule kwa kuwa akili yako yote inakuambia kwamba kama ungesoma usingekuwa kwenye hali ambayo upo sasa kitu ambacho si kweli, Pia kumbukumbu za matukio yale ya muhimu hujirudia mf: unakuta unaota upo na marafiki wa shule wa zamani n.k, Hiyo hutokea maana katika kipijdi kirefu umekuwa mazingira ya shule hivyo kumbukumbu hubaki akilini siku zote.
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?


Maana yake tafuta mke.
 
Ndoto za kiwaki ila nahis hii inawapata wale watu waliyokuwa wasongo yaani soma soma Kila muda hawana issue zingine zaid ya kitabu tu
Yaaah kweli mkuu
Shida mtoto wa peasant..hauna cha kurithi zaidi ya elimu na bado nyuma kuna watu wanakutazama kama msaada..lazima iwe ni kitabu muda wote..wana walikuwa wana usemi wao wanasema 'umetumwa na ukoo'
 
Back
Top Bottom