Kuota ukiwa shule

Kuota ukiwa shule


Ukiota upo shule tena katika ngazi ambayo ulishaipita, hiyo ni dalili ya kurudi nyima kimaisha. Ni maono unapewa.

Kuna ndoto kama marudio ya kile kitu umekuwa ukiwaza kwa muda mwingi wakati ukiwa macho na ndoto kama njia ya Mungu kusema na wewe kiumbe wake. Ukichanganya haya unapotea.

Nimewahi kuota ndoto mara tatu katika hali tofauti ila zikiwa na ujumbe mmoja, nilipuuzia, kumbe nilikuwa naoneshwa kitu.


Kabisa boss... Nakubali
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
Maana ya ndoto hiyo ni kwamba kuna mtu anakurudisha nyuma kwa kutumia ushirikina. Kama zinakukuta wahi mapema atakuharibia. Anakuloga ili usiendelee
 

Ukiota upo shule tena katika ngazi ambayo ulishaipita, hiyo ni dalili ya kurudi nyima kimaisha. Ni maono unapewa.

Kuna ndoto kama marudio ya kile kitu umekuwa ukiwaza kwa muda mwingi wakati ukiwa macho na ndoto kama njia ya Mungu kusema na wewe kiumbe wake. Ukichanganya haya unapotea.

Nimewahi kuota ndoto mara tatu katika hali tofauti ila zikiwa na ujumbe mmoja, nilipuuzia, kumbe nilikuwa naoneshwa kitu.


Mkuu Sasa hapa unakua unarudi nyuma kivip,Maelezo zaidi tafadhari
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
hii sio chai,naona ni common scenario kwa watu wengi nikiwemo mimi hapo awali. sijui kama ni roho za kutofanikiwa zinakuwa windoni
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
Kuota upo darasani unafanya mtihani na unafeli au haumalizi kujibu mana yake Ni unataka kuanzisha jambo jipya kimaisha au unatamani kuwa katika Hali Fulani kimaisha,kufeli au kushindwa kujibu mtihani nikushindwa mipango yako kimaisha na kijamii.
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
Kuna jambo unataka kufanya ila unajulishwa msingi wako wa kifikra juu ya hilo jambo ni mbovu sana
 
ndoto nyingi naota nipo shule tena primary na mara moja moja sekondari... kipindi nipo college sikumbuki kama nimewahi kuota ndoto za mazingira ya chuo hata siku; kila ndoto ni primary tu hata niote watu ninaoshinda nao kutwa na sikusoma nao primary lakini kwenye ndoto wote ni shule!

Hata wahusika wakiwa ni watumishi wenzangu lakini ndotoni lazima tuwe ni wanafunzi! Nakumbuka siku hiyo nimeota Mwalimu mkuu wa shule ninayofundisha eti anakagua sijui jambo gani na mimi nimo ni mwanafunzi halafu namhanya balaa aisee niliposhtuka ikabidi nicheke tu maana kiuhalisia huyo jamaa wala hana ukali niliomuota nao na ni mshkaji sana hapa shuleni hata huwezi kujua kama yeye ndiye mkuu
Ndoto ya primary mda mwingine inamaanisha una msingi mbovu sana wa kifikra juu ya jambo ambalo unataka kulifanya, na ukilifanya utafeli

Ndoto ya shuleni juu ya somo husika ni fumbo ambalo limefichwa kwenye fikra zako na lina nafasi kubwa sana ya wewe kufanikiwa inamaana mafanikio yako kwenye maisha yanategemea sana wewe kulitatua hilo fumbo

Mara nyingine ndoto ya uko shuleni maana yake mafanikio yako yanakwamishwa sana kwenye fikra zako juu eneo ambalo unaloota

Mim nilikua naota nafail mtihani wa hesabu almost more than 100 times au naingia kwenye mtihani ila naibia wenzangu ila still hili fumbo bado sijaweza lifumbua

Na pia nilikua naota ndoto nafail masomo ya kiswahili na kingereza nashukuru Mungu hii nimeweza kutatua hili fumbo au kutegua hiki kitendawili
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
ndoto ni mzunguko wa yale uliyopitia, maono ni kuota kitu hujawahi kuona au kufika sehemu na ukaja kufika...
 
Back
Top Bottom