Habari za siku mingi wakuu, Nina hii ndoto inanikosesha amani na sielewi ni nzuri au mbaya
Nimetoa ni mchana ila kutazama juu nikaona mwezi ndio upo wakati natembea nikagundua mwanga ni mweupe wa mbalamwezi badala ya ule wa jua tuliouzoea na watu wakaanza kunikagua na kunishangaa nimemulikwa na mwanga wa mwezi na wakaconfirm mwanga ule unaonimulika ni wa mbalamwezi ndoto ikaisha
Mwenye Kujua tafasiri msaada tafadhali manake nawaza ndio kufa au vipi
Nimetoa ni mchana ila kutazama juu nikaona mwezi ndio upo wakati natembea nikagundua mwanga ni mweupe wa mbalamwezi badala ya ule wa jua tuliouzoea na watu wakaanza kunikagua na kunishangaa nimemulikwa na mwanga wa mwezi na wakaconfirm mwanga ule unaonimulika ni wa mbalamwezi ndoto ikaisha
Mwenye Kujua tafasiri msaada tafadhali manake nawaza ndio kufa au vipi