Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Habari Wadau wa jf,
Hoja yangu niulize Huu utaratibu huwa naona upo kila sehemu vituo vyote vya setro Tanzania, kwamba kama una mtu wako yupo Central ukiwa unampelekea Chakula lazima wewe mwenyewe uonje hicho chakula kama ni ugali utamega kidogo na mboga pia,
Harafu ndo kitachukuliwa na kupelekewa ndugu yako au mtu wako yoyote, je huwa wanahisi nini mpaka ule wewe au wanajua umeenda kumuua ndugu yako au jamaa yako,
Nipeni Mwongozo labda mimi ndo sijui.
Hoja yangu niulize Huu utaratibu huwa naona upo kila sehemu vituo vyote vya setro Tanzania, kwamba kama una mtu wako yupo Central ukiwa unampelekea Chakula lazima wewe mwenyewe uonje hicho chakula kama ni ugali utamega kidogo na mboga pia,
Harafu ndo kitachukuliwa na kupelekewa ndugu yako au mtu wako yoyote, je huwa wanahisi nini mpaka ule wewe au wanajua umeenda kumuua ndugu yako au jamaa yako,
Nipeni Mwongozo labda mimi ndo sijui.