Kuongezeka kwa ujenzi wa vituo vya mafuta DSM

UFIPA:uchumi unasinyaa
MTAA:nyumba mpya zinajengwa.
TPA:kodi ya kuagiza gari iongezwe,maana yanakuja
kwa kasi.
 
Siyo Dar tu, ni nchi nzima, njoo Morogoro Msamvu, ATN, Total, Puma, Lake, Bahlaboo, Oilcom, Lake na eneo lilipo katikati ya shule ya msingi Msamvu na Moproco kinajengwa...sidhani kama kuna uhitaji kiasi hiki wa mafuta.

Nenda sasa barabara ya Mikumi-Ifakara, vituo vi3, Ifakara-Malinyi almost NOTHING. Vituo ni Ifakara mjini.

Everyday is Saturday................................:cool:

wenzako wenye sheri wanaangalia mahitaji,wewe unaangalia kelele za mtandaoni.
 
wenzako wenye sheri wanaangalia mahitaji,wewe unaangalia kelele za mtandaoni.
Mahitaji ndiyo petrol station ijengwe pembeni mwa shule?? Ijengwe nyuma ya nyumba za makazi ya watu??
Siku likitokea la kutokea watasema walizingatia mahitaji??

Petrol station ijengwe kwenye mahitaji, ikizingatia usalama pia, hizo barabara vijijini pia zipo zinawahitaji, kwanini wasiseme vibali vya mjini vimetosha, sasa ni huko vijijini kama umeme umeshaenda.
Labda kama wanahalalisha, biashara ya mafuta ya vidumu.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Watu wakibanwa wasiweke pesa benki kwa kuhojiwa hojiwa wanazihamishia mitaani kujenga vitega uchumi wakiachwa free pesa zinajaa kwenye mabenki sababu wanajua huulizwi .Sheria za money laundering zinatakiwa zisiwe kali sana zilinde tu pesa za umma zisiibiwe lakini kama hela zinapigwa sekta binafsi huko wasifuatilie sana mfano kuna wafanyakazi sekta binafsi wanawaibia kampuni zao huko waweza wakuta wana mabilioni wakiweka benki fuatilia tu kama kuna pesa ya umma imeibiwa ukiona haipo kauka

Mwachie pesa zake

Sasa hivi nadani kuna baadhi pesa wanazo ila wanaogopa kuweka benki ndio maana ya huu muibiko wa vituo vya mafuta vingine kila baada ya hatua chache
Kwahiyo wakiibia serikali ni haramu, ila wakiibia sekta binafsi ni halali??
Kuwe na aina mbili za wezi!
Au sijakuelewa??😂😂😂

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Shida yenu bado mnapenda tuishi kama mashetani, wakati tulikuwa tunaishi kama malaika.
Ni kweli mkuu, watu walipofushwa na mapambio ya "mtetezi wa wanyonge" wakasahau kbs kuwa malaika alitaka tuishi kama mashetani.

'Haijawai tokea watu kukamatwa kwa kusherehekea kifo!
Kamanda alisema "walikutwa wamepika supu ya mbuzi na pombe ya kienyeji lt.sijui 20 vileee!!? Haahhaaa haaa!

Ona hata kamanda mzima hajui kama aliekuwa anamtuma kufanya hivo ameshakufa! Anaona labda ni kawaida tu!!

Bado tunakazi kubwa ya kuendelea kuwaombea hawa wafuasi wake wote wamfuate.
 
Tanzania Ni Tajiri
Ni Nchi Nzima Vituo Tena Havizingatii Umbali
Kweli kabisa hawazingatii umbali. Najiuliza hamna sheria kutoka kituo kimoja hadi kingine? Pale St. Peters kuna Total mbele baada ya nyumba nne kuna kingine kipya kinajengwa. Kigamboni kwenye round about ukitoka darajani kwenda Kibada kuna kituo, mbele yake baada ya nyumba moja kuna kituo kipya cha ENGEN kinajengwa. Njia hio hio mbele kipande cha km 3 kuna vituo karibu 6 vinajengwa, ni wazi kuna uhitaji mkubwa wa mafuta ya magari.
 
Sheria na taratibu zilizopitishwa mwaka jana kuhusu makampuni ya Mafuta zimewafanya wenye makampuni hizo kufanya Petrol stations kuwa plan B
 
Habari Watz,

Kuna jambo ambalo Mimi naliona toka tumalize uchaguzi wa 2020 linatokea kila kukicha nikipita barabarani ambalo hatukulizoea kwa kipindi hiki Cha Hayati. Kumekuwa na ongezeko kubwa la ujenzi wa vituo vya mafuta hasa Bagamoyo Road kuanzia maeneo ya Tegeta hadi Bagamoyo ilihali wananchi wengi tupo dhofu bin taabani kiuchumi.

Kinachonifikirisha ujenzi huu haukutokea miaka miwili mitatu iliyopita lakini ghafla kila sehemu wazi watu wanajenga vituo vya mafuta. Kuna hata mmoja pale daraja la mto Mpiji unapovuka toka Bunju kwenda Bagamoyo kajenga usiku na mchana kwa wiki mbili tu. Tunaofahamu mambo ya ujenzi ni gharama kubwa.

Swali fikirishi hizi hela watu wamezitoa wapi ghafla? Ndo kusema hayati alianza kuachia hela baada ya miaka yake mi5 ya Kubana? Au ndo tutarajie mmwagiko wa hela mtaani tena?
Nimekuja nduki, kunakitu umesahau kukizungumzia: je, ongezeko/ujenzi huu haukiuki sheria⁉️ nijuavyo mimi sheria inaelekeza umbali unaotakiwa kitoka kituo kimoja hadi kingine - sasa naona kama kuna bituo vimesogeleana
 
Kiukweli linenishangaza pia, ni dar nzima. Kilwa road nimeshughudia kama mbili. Njia ya mbezi kutokea goms zaidi ya tano. N.k
 
Habari Watz,

Kuna jambo ambalo Mimi naliona toka tumalize uchaguzi wa 2020 linatokea kila kukicha nikipita barabarani ambalo hatukulizoea kwa kipindi hiki Cha Hayati. Kumekuwa na ongezeko kubwa la ujenzi wa vituo vya mafuta hasa Bagamoyo Road kuanzia maeneo ya Tegeta hadi Bagamoyo ilihali wananchi wengi tupo dhofu bin taabani kiuchumi.

Kinachonifikirisha ujenzi huu haukutokea miaka miwili mitatu iliyopita lakini ghafla kila sehemu wazi watu wanajenga vituo vya mafuta. Kuna hata mmoja pale daraja la mto Mpiji unapovuka toka Bunju kwenda Bagamoyo kajenga usiku na mchana kwa wiki mbili tu. Tunaofahamu mambo ya ujenzi ni gharama kubwa.

Swali fikirishi hizi hela watu wamezitoa wapi ghafla? Ndo kusema hayati alianza kuachia hela baada ya miaka yake mi5 ya Kubana? Au ndo tutarajie mmwagiko wa hela mtaani tena?
Sio bagamoyo road tu ni sehemu nyingi

Usiseme hela hakuna

Wewe ndo huna hela...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati naingia Dar miaka kibao iliyopita, Dar kulikua na vituo vya petroli 17. Hivyo Ni pamoja na kile Cha BP terminal one kule eapot.
Kipindi hicho hakuna daladala, uda zilikua zinaishia Temeke, eapot, Ubungo, Mwenge na kawe.
 
Wakati naingia Dar miaka kibao iliyopita, Dar kulikua na vituo vya petroli 17. Hivyo Ni pamoja na kile Cha BP terminal one kule eapot.
Kipindi hicho hakuna daladala, uda zilikua zinaishia Temeke, eapot, Ubungo, Mwenge na kawe.

Mkuu nimekucheki inbox sana ila kimya tu__naomba ntumie namba zako (kuhusu yale mambo yetu)
 
Habari Watz,

Kuna jambo ambalo Mimi naliona toka tumalize uchaguzi wa 2020 linatokea kila kukicha nikipita barabarani ambalo hatukulizoea kwa kipindi hiki Cha Hayati. Kumekuwa na ongezeko kubwa la ujenzi wa vituo vya mafuta hasa Bagamoyo Road kuanzia maeneo ya Tegeta hadi Bagamoyo ilihali wananchi wengi tupo dhofu bin taabani kiuchumi.

Kinachonifikirisha ujenzi huu haukutokea miaka miwili mitatu iliyopita lakini ghafla kila sehemu wazi watu wanajenga vituo vya mafuta. Kuna hata mmoja pale daraja la mto Mpiji unapovuka toka Bunju kwenda Bagamoyo kajenga usiku na mchana kwa wiki mbili tu. Tunaofahamu mambo ya ujenzi ni gharama kubwa.

Swali fikirishi hizi hela watu wamezitoa wapi ghafla? Ndo kusema hayati alianza kuachia hela baada ya miaka yake mi5 ya Kubana? Au ndo tutarajie mmwagiko wa hela mtaani tena?
Benki nazo hazikuwa na fedha?
 
tunajegewa kituo cha mafuta amana ilala kwenye mbanano wa majumba ya kuishi watu na hospital ya amana wanajenga shell mtaa uhuru/arusha
 
Kuna kimoja cha Lake Oil kimejengwa katikati ya Makazi ya Watu na nimejiuliza Maswali mengi mpaka nikakosa majibu yake.
 
Watu wakibanwa wasiweke pesa benki kwa kuhojiwa hojiwa wanazihamishia mitaani kujenga vitega uchumi wakiachwa free pesa zinajaa kwenye mabenki sababu wanajua huulizwi .Sheria za money laundering zinatakiwa zisiwe kali sana zilinde tu pesa za umma zisiibiwe lakini kama hela zinapigwa sekta binafsi huko wasifuatilie sana mfano kuna wafanyakazi sekta binafsi wanawaibia kampuni zao huko waweza wakuta wana mabilioni wakiweka benki fuatilia tu kama kuna pesa ya umma imeibiwa ukiona haipo kauka

Mwachie pesa zake

Sasa hivi nadani kuna baadhi pesa wanazo ila wanaogopa kuweka benki ndio maana ya huu muibiko wa vituo vya mafuta vingine kila baada ya hatua chache
Nyinyi mliamini Magufuli ni mungu, kumbe alikuwa anatupeleka shimoni.
 
Back
Top Bottom