Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,410
- 14,176
Pamoja sana kiongozi.Teuzi tulishazilamba mno,pia ma seniors wamejaa huko ma wizarani kibao tu au nikupatie staff list ya kila wizara?
Kwenye ma biashara tupo na serikalini tupo hatuangalii fursa moja tu
Alafu sisi sio wajinga hadi wengine watupite tunazid kutanua wigo sisi hatunaga chuki kama nyie za kutuombea tuporomoke sahau sahau sahau (in mwanri's voice)
NB*
Zama za kuendesha nchi kishamba zimepita sasahvi mama anatupeleka kunakostahili