hali ya ongezeko la vijana wengi waso na ajira nchini inazidi kuongezeka kila machweo hata wale walotegemea kuajiriwa na serikali kumetanda kiza nene wasijue hatima yao baada ya ahadi waloahidiwa kupita je kama hizi ahadi ndogo ndogo hazitimii kwa wakati uloaidiwa kwenye mass media je hizo ahadi kubwa kubwa za viwanda zitatimia kwa wakati au tutafika 2020 hali bado tete