uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
duh afadhali waiondoe kabisa maana nina mkebe wangu umepaki mwaka.na.nusu nashindwa kuuweka roadini
Nadhani utalipa maana mwaka mpya wa fedha ni kuanzia 01,julyIkiwa ulitakiwa kulipia June kuna haja ya kulipa?
Wamewaua trafic na njaa sasa daaa najilaumu maana yakwangu ndio nimelipia 1.5Ndiyo Mkuu, wamesema itapelekwa kwenye Nishati ya Mafuta.
Moja ya Kitu Serikali ilichofanya cha ajabu ni Kuondoa Motor Vehicle Lisence kwa Magari na kuipeleka kwenye Mafuta.
Hili Jambo litaenda kuathiri Uchumi wa Mtanzania kuwa Mbaya zaidi. Kumbuka Nishati ya Mafuta ndiyo kila kitu. Hii itaenda kufanya bidhaa kupanda gharama ya kununua, nauli kupanda na mwishoe kuathiri maisha Mazima ya Mwananchi wa Kawaida.
Pia itaathiri mfumko wa bei na maisha yatazidi kuwa Magumu. Kipengele hiki Sikubaliani nacho kabisaa.
Ni maoni yangu tu haya.
Bima haijilimbikizi utalipia pale utakapoanziaVp naomba Elimu kidogo ,kuhusu hii kitu bima na road license ,kipi kimefutwa ?,je bima huwa nayo inajilimbikiza?
Unashindwa kukubaliana vp na kitu ambacho tayari kina subiri UTEKELEZWAJI....!!Moja ya Kitu Serikali ilichofanya cha ajabu ni Kuondoa Motor Vehicle Lisence kwa Magari na kuipeleka kwenye Mafuta.
Hili Jambo litaenda kuathiri Uchumi wa Mtanzania kuwa Mbaya zaidi. Kumbuka Nishati ya Mafuta ndiyo kila kitu. Hii itaenda kufanya bidhaa kupanda gharama ya kununua, nauli kupanda na mwishoe kuathiri maisha Mazima ya Mwananchi wa Kawaida.
Pia itaathiri mfumko wa bei na maisha yatazidi kuwa Magumu. Kipengele hiki Sikubaliani nacho kabisaa.
Ni maoni yangu tu haya.
Uwekezaji bila umeme?umeme huu wa mshumaa ndio mnajivunia?Tumelishwa kulalamika OK,,, twendeee,,, jiulize vyakula toka %5 hadi 2%,uwekezaji nmesikia kuna vitu vmepunguzwa kodi ili kuvutia ujenzi wa viwanda na uwekezaji,,, huon itakuwa furaha kwa wananchi??
Mkuu nadhani hujaelewa kodi inayo zungumziwa. Importation tax ipo palepale.Wacha nikaweke oda ya gari yadi kabisa manake mateja watamiminika kwenye mayard ya magari, sasa tunarudi mtindo wa zamani mama ana gari yake mtoto ya kwake, nikivaa suti nyeusi natoka na benz nikivaa jeans natoka na hilux ya blue.
Gharama imehamishiwa kwenye wese mkuu,unafuu upo tu kama gari halitumikiWacha nikaweke oda ya gari yadi kabisa manake mateja watamiminika kwenye mayard ya magari, sasa tunarudi mtindo wa zamani mama ana gari yake mtoto ya kwake, nikivaa suti nyeusi natoka na benz nikivaa jeans natoka na hilux ya blue.
Mimi nimefurahi kuwanyima ulaji trafic maana kila wakikusimamisha breki2ya kwanza ilikuwa kwenye llAcha iondolewe. Mfano umeenda nje ukakaa huko miaka miwili gari haiko barabarani. Ukirudi unalipia road licence au motor vehicle wakati hujaitumia na penalty juu. Huu ulikuwa ni wizi mkubwa. Hii ni nzuri. Sema kwa upande mmoja yule anaetumia mafuta ya taa au petrol kwa ajili ya generator itakuwa imekula kwake. Ila kwa wenye magari hii ni bombaaa
Ndio..walichonifurahisha kusameheme madenikwani meondolewa
Bima haijafutwaVp naomba Elimu kidogo ,kuhusu hii kitu bima na road license ,kipi kimefutwa ?,je bima huwa nayo inajilimbikiza?
hahahaaa...Mkuu, usiwe na shaka. The NET effect is zero. Hiyo tunaita shifting of burden from one shoulder to another!
Inaanza kuwa effective lini hahahhaha...mana mimi natakiwa nilipege kila mwaka july...Road License ndiyo imeondolewa Mkuu!