kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,921
- 2,263
Hamnaga jema na hayajakukuta. Nikupe mfano mimi miaka iliyopita nilimpatia dereva wangu kigari ili aanzie maisha hasa kutokana na kufanya kazi vizuri ili naye abangaize. Naye akamuuzia jamaa ambaye aliuza kama screpa. Kumbe hawakubadili jina, juzi naenda kuangalia TIN nikakuta nadaiwa kama million tatu za MVL ya hilo gari. Nilipoandika barua ya kuomba iondolewe katika system wakasema nilipe nikali ila wakadai kabla ya kuiondoa lazima nilete Vehicle Inspection Report la sivyo itabaki katika system na niendelee kuilipia kila mwaka. Imagine!Moja ya Kitu Serikali ilichofanya cha ajabu ni Kuondoa Motor Vehicle Lisence kwa Magari na kuipeleka kwenye Mafuta.
Hili Jambo litaenda kuathiri Uchumi wa Mtanzania kuwa Mbaya zaidi. Kumbuka Nishati ya Mafuta ndiyo kila kitu. Hii itaenda kufanya bidhaa kupanda gharama ya kununua, nauli kupanda na mwishoe kuathiri maisha Mazima ya Mwananchi wa Kawaida.
Pia itaathiri mfumko wa bei na maisha yatazidi kuwa Magumu. Kipengele hiki Sikubaliani nacho kabisaa.
Ni maoni yangu tu haya.