Kampuni ya Multichoice Tanzania DStv imesema Mashabiki wote wa Haji Manara na Mwigizaji Zai ambao watataka kutazama LIVE tukio lao la leo la “The Royal Engagement Party” litakalorushwa kwenye channel ya MAISHA MAGIC watalipia kifurushi cha shilingi elfu 10.
Kwenye mahojiano mafupi ya wawili hawa ikiwa ni saa chache kabla ya tukio la leo la pete ya uchumba, kila mmoja ameonekana kuwa na utayari ikiwemo kuweka ahadi za kulitunza huba lao.
“Sitokubali ndoa yangu itetereshwe na manenomaneno, sitokubali. Sitokubali Mke wangu aingie katika sehemu iwe ya kikazi ya kibiashara ambayo itaharibu hadhi yetu, nitamlinda..... kwa sababu unayempenda huwezi kutaka aharibikiwe"-Manara
Kwenye mahojiano mafupi ya wawili hawa ikiwa ni saa chache kabla ya tukio la leo la pete ya uchumba, kila mmoja ameonekana kuwa na utayari ikiwemo kuweka ahadi za kulitunza huba lao.
“Sitokubali ndoa yangu itetereshwe na manenomaneno, sitokubali. Sitokubali Mke wangu aingie katika sehemu iwe ya kikazi ya kibiashara ambayo itaharibu hadhi yetu, nitamlinda..... kwa sababu unayempenda huwezi kutaka aharibikiwe"-Manara