Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
kazi kweli kweli labda uvae helment kwa kweli sijui utafunguaje mdomokuomba nayo kazi si utani.
kazi kweli kweli labda uvae helment kwa kweli sijui utafunguaje mdomokuomba nayo kazi si utani.
kazi kweli kweli labda uvae helment kwa kweli sijui utafunguaje mdomo
Acha ubabaishaji;
Acha kutuzuga;
Acha ujinga na utoto pia;
Achana na feminism;U mwanamke;Tumia haki yako ya msigi ya kuwa mwanamke.
Na utaendelea kuwa mwanamke
Mungu alikuumba kwa ajili ya Mwanaume;
Wala sio mwanaume kwa ajili ya mwanamke.
Ni haki yako kusaidiwa mahitaji yako ya msingi na mpenzi wake (mwite upendavyo - Buzi, ATM etc).
Ndimi Bazazi!
duuu ww wa ukweli yani unaona noma kumuomba bf wako daa endelea kuwa hivyo,maana madada wengi wa mjini ukiwa nae tu anakufanya ww ndio mzazi wake hata hawafikilii mbona baba yake hajampa hayo yote anayotaka ndo aje kupata kwako.dada big up kama ni tatizo la kawaida muite umuelezee usije mwambia kwenye simu atakuona wale wale wa mizinga.
Kwa sababu hujawahi kuomba muombe akusaidie, siyo kukopa.
uje utupe na fidback jamani tecnicue utayotumia maana umeshauriwa mengoi ili nasi tuje tuaply, maisha yenyewe ndo hayahaya
Suprise dear, naonaje sooo.. anyway will meet him this evening let me see kama nitaweza kubreak the news...
Hahahahah Suprise nawe wataka kuanza kuomba nn? Its an art bt if wajiweza sioni logic ya kuomba yy kama sm1 anayekupenda na kukuthamin atakuhudumia now and then cyo hadi umwombe ukiona anangoja umwombe jua he is sm1 who is nt responsible and even in future atakusumbua kwenye kutake care of ur family....
hahaha cieolo inawezekana anatoa pale anapoona inafaa, bt kipindi wewe unashida ya pesa ye hajaguswa so nasubiri tecnic hizo ili demand imatch supply tusipishane bure
No mwanaume wa kweli anamhudumia mpenziwe throughout cyo kwa kubip ka msimu wa ckukuu,akiwa mtu wa kutoa kwa machale jua ndo walewale na uanze kujipanga vyema kuwa kichwa cha family
duuh kweli ngoja nichukue hatua
Acha ujinga ww, face him isitoshe alitakiwa afanye hivyo bila hata ww kumlilia shida, if he is nt giving u sm1 is being given...open ur eyez
mwambie darling naomba unikopeshe kiasi kadhaa nahitaji kufanyia kitu fulani ntakurudishia siku fulani. simple and clearmashosti wazima..
nina bf tunapendana sana.. mi ninafanya kazi yenye mshshara wa kawaida ila yy ana kupato kikubwa. but i have always been independent na sijawahi omba pesa.
sasa nimepatwa na uhitaji sana wa pesa ila nashindws nianzie wapi kumwambia.. though amekua akisema nikiwa na shida nimwambie..
naogopa na sioni pa kuanzia.. msaada wenu plz..
i appreciate yo effort..
Finally you are back from Mother Teresa!!!!!!!!! Its good to have you back! Ndo ukaninyima ule mkopo PM?