Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Wenzio hawaombi, wanadai kabisa. Utaona msg, 'baby sasa ile hela vipi nachelewa saluni mwenzio' kama vile aliiweka.
Hahahahahahahahaha gademuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yaani utadhani alikupa umshikie dash watu wana njaa Kali balaaa .

Unatongoza dakika ya kwanza ya tatu ashakulipua na mzinga Wa nuclear khaaaa .[emoji14]
 
Direct kivip?
Indirectly sio DIRECTLY

Kumpitisha MME mitaa ya Samora then unajisemesha semesha "baby ile perfume nzuri",mme anatoa laki 2 ananunua perfume!

Hapo ni kuwa umeomba INDIRECTLY,nyie hamjambo kwa kuomba
 
Aisee hata mimi kumuomba boyfriend hela ni mtihani,bado sijapata kazi lakini hiyo hainipi sababu ya kuwa ombaomba.Kama sina vocha nitasubiri mpka unipigie,Nadhani ifike sehemu sie wanawake tuwe na aibu tusipende kutangaza shida sana.
Sidhani kama hao wenzako watakuelewa wewe utapaa mume mwema
 
Ningekupata wewe mbona ningefurahi mimi. Endelea na hiyo tabia nzuri kipenzi.
 
Indirectly sio DIRECTLY

Kumpitisha MME mitaa ya Samora then unajisemesha semesha "baby ile perfume nzuri",mme anatoa laki 2 ananunua perfume!

Hapo ni kuwa umeomba INDIRECTLY,nyie hamjambo kwa kuomba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbinu mbadala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…