mrs fiance
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 350
- 163
Hapana, wenzako wanaomba tena macho makavu bila haya
Itabidi unifundishe maana nashindwaga hata kuanza,hata ya vocha tu. Huwa natumiwa tu bila kuombaHapana, wenzako wanaomba tena macho makavu bila haya
KumbeeeeeeNa hawaombi hela tu!
Wanaomba hadi cologne, kofia, raba mtoni, mabegi ya mgongoni, Beats by Dre, n.k.
Hata kama hawakujui watakuomba tu...watajibebisha hadi wapate kaupenyo ka kukuomba!
Shameful and disgraceful.
Asante kwa ushauri?endelea hivyo hivyo.... kuomba hela ni tabia mbaya, utakosa mume 🙂
Sionagi sababu ya kuomba,ilihali Kama MTU anakupenda atakuhudumia tu.,Bahati mbaya nipo In relationship,Kwanini hudai Kodi????
Mtoa mada upo single?? Nimekupenda bure.
Madhara yapi. Funguka basi nijifunze labda niwe nafanya hivyo hata kwa kulazimishaKuwa na moyo huo huo.utaona madhara yake.
Mi nawe mapachaYani mm sijui niko vipi ,sijuagi Kabisa kumuomba hela mwanaume, akinipa mwenyewe sawa,Ninaweza nikasema ngoja Leo nimuombe hela mwanaume lakini nikianza kuandika SMS tu nafuta na achan na hiyo ishu.japo siwezi omba face to face.sijui na kwa wenzangu ni hivyo?
Awee.haya pachaMi nawe mapacha
Day one tu ushakuwa bebi, hata b4 u bkum one, ataanza unajua kifursuhi changu kinakaribia kuisha, naomba niunge beeebi, mara hivi, ukikubali tu.. kwishney. Sasa bebi kuna mzigo nimeagiza afu nanii alisema atantumia hela kesho, so naomba afu hamsini nilipie then ntakurefund kesho..nyoooo! Nshafanya tafiti nyingi sana kuhusu hawa nikikuonyesha matokeo utakimbiaga tu weye...
Hawana haya, afu wakavu, mbaya Zaidi ni wepesi wa kudhani kila mtu ni rahisi tu, akikubeep ukaitika kwa moja, yanaanza kumiminika kibao. Afu wote staili za kufanana, unajua bebi kwa kweli mimi huwa cjisikii kumwomba mwenzangu, yaani akiona sawa atanipatia tu..swali: kwani lazima mimi nikupatie?? wewe huwezi nipatia? this way... ikfika hapo hata huitaji kusema sana, unabeba unavyotaka... no compromise. Afuwengine wasooomi wadhuri tu, but kipengele hiyo taaluma yao ya kufikiri huwa haiwork...duh!
napita lakini...
Kila siku nakutana nayo haya..hadi nimekomaa...yalikukuyaga nn.maana umeyamimina
PoleKila siku nakutana nayo haya..hadi nimekomaa...