Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,180
- 24,798
.....Kama unalijua hilo imekuaje ukahusianisha hoja ya uandishi wa barua na degree..? Afu usikariri maisha kudhani kila anaechangia huu uzi anasubiri ajira akiwa kwa shemeji yake kama ww..mwaka wa nne huu napokea mpunga kwenye ATM za nmb kila mwisho wa mwezi...
Umetumia muktadha gani kuuliza swali lako kwamba "kuwa na degree ndio kujua kila kitu?... inaonekana una ukilaza flani hivi, so relax usipanic! Ona sasa ulivyopanic hadi unataja sijui unapokea mshahara kupitia nmb, ni hiyo 400K ndio inakupa kiburi na stress ee? Sawa nakaa kwa shemeji lakini hiyo 400k ndiyo matumizi ninayoyafanya hapa kwa shem kila wikiend!
Sasa unataka kujilinganisha na mimi ama?
...mimi nafunga hesabu kwa siku, ambapo ukikusanya hizo digits zako sita unazodai unapata sijui mwisho wa mwezi kwa miezi isiyopungua mitano ndio funga yangu ya siku!
So usitake kujua mengine nje ya keyboard huku, utajikuta unapasuka kwa wivu na hasira bure!