Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,903
- 11,811
Wakuu tangu niko mdogo nimezoeshwa kuoga kila siku ila sijawahi kuona faida yake
Vipi kama nisipooga nitanuka halafu baada ya miezi harufu itakata na sitanuka tena. Si itakuwa niko huru maishani mwangu. Nakuwa sihitaji kuoga tena.
Kwani uchafu ukizidi kwenye ngozi kuna madhara gani ya kiafya? Au ndo kunuka tu.
Kwa hiyo nikitenga likizo moja nisioge mwezi mmoja na nusu nini kitatokea ambacho ni kibaya kiasi hicho?
Vipi kama nisipooga nitanuka halafu baada ya miezi harufu itakata na sitanuka tena. Si itakuwa niko huru maishani mwangu. Nakuwa sihitaji kuoga tena.
Kwani uchafu ukizidi kwenye ngozi kuna madhara gani ya kiafya? Au ndo kunuka tu.
Kwa hiyo nikitenga likizo moja nisioge mwezi mmoja na nusu nini kitatokea ambacho ni kibaya kiasi hicho?