Kuoana mkiwa bikra

Kuoana mkiwa bikra

bagain

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
363
Reaction score
229
Habari wana MMU,

Kuna faida sana mkioana mkiwa wote hamjawahi fanya tendo la ndoa. Yaani mume na mke wote mko fresh kabisa.

~Mnapata nafasi nzuri na adimu ya kujifunzia kujamiiana kwenye ndoa. Ina raha yake sana maana wote mnafundishana.

~Mnakuwa na honeymoon yenye uzito au thamani sana kwa kuwa hamjawahi kufanya tendo hilo.

~Mnakuwa hamna habari za x yaani hakuna cha wapenzi wa zamani, hakuna cha kutoa mimba, hakuna watoto wa nje n.k

~Nyinyi wawili ndiyo mnajuana viungo vyenu tu, hamjui vya wengine vikoje. Hivyo kuwafanya kuwa na kuridhika moyoni.

~Mnaaminiana sana.
~Mnakuwa huru sana kwenye njia zenu za mawasiliano kama simu, mitandao ya kijamii n.k.

N.k

Nimeona niwatie moyo wale ambao hawajawahi kufanya tendo la ndoa. Subirini mje mfaidi uhusiano wa namna hii ambao ni adimu sana siku hizi.

Ninayaandika haya kutoka katika uzoefu wangu mwenyewe. Tulioana na mwenzangu tukiwa hatujawahi fanya tendo la ndoa.
 
Habari wana MMU.

Kuna faida sana mkioana mkiwa wote hamjawahi fanya tendo la ndoa. Yaani mume na mke wote mko fresh kabisa.

~Mnapata nafasi nzuri na adimu ya kujifunzia kujamiiana kwenye ndoa. Ina raha yake sana maana wote mnafundishana.

~Mnakuwa na honeymoon yenye uzito au thamani sana kwa kuwa hamjawahi kufanya tendo hilo.

~Mnakuwa hamna habari za xs yaani hakuna cha wapenzi wa zamani, hakuna cha kutoa mimba, hakuna watoto wa nje n.k

~Nyinyi wawili ndiyo mnajuana viungo vyenu tu, hamjui vya wengine vikoje. Hivyo kuwafanya kuwa na kuridhika moyoni.

~Mnaaminiana sana.
~Mnakuwa huru sana kwenye njia zenu za mawasiliano kama simu, mitandao ya kijamii n.k.

N.k

Nimeona niwatie moyo wale ambao hawajawahi kufanya tendo la ndoa. Subirini mje mfaidi uhusiano wa namna hii ambao ni adimu sana siku hizi.

Ninayaandika haya kutoka katika uzoefu wangu mwenyewe. Tulioana na mwenzangu tukiwa hatujawahi fanya tendo la ndoa.

Ni kweli mkuu ila unawatolea wap wa dzain hii, labd enzi maji maji war
 
Cjabahatika kupata dem bikra.. Kila naempata nakuta used tuuu.... This is BULL SHIIT...

Siwezi kuoa janamke used kamwe!! Labda NIFE.
Habari za kuambulia makombo ya shahawa za wanaume wenzio huo ujinga sitaki tena.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Habari wana MMU.

Kuna faida sana mkioana mkiwa wote hamjawahi fanya tendo la ndoa. Yaani mume na mke wote mko fresh kabisa.

~Mnapata nafasi nzuri na adimu ya kujifunzia kujamiiana kwenye ndoa. Ina raha yake sana maana wote mnafundishana.

~Mnakuwa na honeymoon yenye uzito au thamani sana kwa kuwa hamjawahi kufanya tendo hilo.

~Mnakuwa hamna habari za xs yaani hakuna cha wapenzi wa zamani, hakuna cha kutoa mimba, hakuna watoto wa nje n.k

~Nyinyi wawili ndiyo mnajuana viungo vyenu tu, hamjui vya wengine vikoje. Hivyo kuwafanya kuwa na kuridhika moyoni.

~Mnaaminiana sana.
~Mnakuwa huru sana kwenye njia zenu za mawasiliano kama simu, mitandao ya kijamii n.k.

N.k

Nimeona niwatie moyo wale ambao hawajawahi kufanya tendo la ndoa. Subirini mje mfaidi uhusiano wa namna hii ambao ni adimu sana siku hizi.

Ninayaandika haya kutoka katika uzoefu wangu mwenyewe. Tulioana na mwenzangu tukiwa hatujawahi fanya tendo la ndoa.
Usiombe bikra aonje nje, atamzidi malaya wa coner bar.
 
Usiombe bikra aonje nje, atamzidi malaya wa coner bar.


ACHA UJINGA wewe basi!!!
Unadhani utabadilisha mawazo yetu wanaume hata theluthi moja basi... Ng'oooo!!!

Haitotokea nikaoa janamke used kamwe!! Labda NIFE.
Masuala ya kuambulia makombo ya shahawa za wanaume wenzio ujinga huo nani anautaka!!

Janamke used ni skrepa...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Cjabahatika kupata dem bikra.. Kila naempata nakuta used tuuu.... This is BULL SHIIT...

Siwezi kuoa janamke used kamwe!! Labda NIFE.
Habari za kuambulia makombo ya shahawa za wanaume wenzio huo ujinga sitaki tena.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Haya yule mrembo wa soft ware engineering ulimkuta used?
 
Back
Top Bottom