JF habari,
Jamani me hua najiuliza swali moja,
hivi logic ya kuoa halaf bado mtu mkaishi mbali na mkeo/mmeo inakuawap?
kwanfano mtu ni bachela, na unaishi mbali na unaetegemea kumwoa, mungu akajalia mkaoana,
lakini bado ukabaki huko uliko na yeye mmwenza wako akabaki huko aliko. sasa mantiki ya kuoa inakua wap hapa!
Lengo hua ni kumfunga mtu asijarib kukutoka au ni kuoa kweli!!!
Jamani me hua najiuliza swali moja,
hivi logic ya kuoa halaf bado mtu mkaishi mbali na mkeo/mmeo inakuawap?
kwanfano mtu ni bachela, na unaishi mbali na unaetegemea kumwoa, mungu akajalia mkaoana,
lakini bado ukabaki huko uliko na yeye mmwenza wako akabaki huko aliko. sasa mantiki ya kuoa inakua wap hapa!
Lengo hua ni kumfunga mtu asijarib kukutoka au ni kuoa kweli!!!