BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Nipo mahali hapa na majamaa ambao wote wake zao ni wanasheria. Tulianza kuongelea ishu za Ndoa. Kifupi hawa jamaa wote wawili wanajuta kuoa wanasheria, mmoja ndio alimsomesha mwenyewe mkewe sheria ndio anajuta kwanini alimsomesha sheria. Majamaa wanasema nyumbani kila siku ni pamoto. Ishu ndogo tu basi watapewa vifungu vya sheria. Yani kwa mtazamo wao wake zao kwa kujiona wanajua sana sheria basi heshima haipo kwa waume zao.
Wale mliooa wanasheria, ni kweli mnakumbana na haya!!.
Update!!
Majamaa wanasema wanawake watiifu ni walimu na manesi!.
Wale mliooa wanasheria, ni kweli mnakumbana na haya!!.
Update!!
Majamaa wanasema wanawake watiifu ni walimu na manesi!.