bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
vyovyote vile wahaya na wanyambo kuna tofauti
so wewe umechukua kwa wanyambo zaidi
wanyambo wako kama watusi hivi
very strict na no nonsense.type
wahaya...well where do i start????????
do! hapo umedanganya, wanyambo hawafanani na watutsi hata kiduchu, wale ni wanyankole.