Kuoa binti mwenye mtoto

Kuoa binti mwenye mtoto

chibi

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
240
Reaction score
65
Habari wana jukwaa naomba mnishauri,

Nilitokea kumpenda sana binti mmoja wakati niko A level nilikuwa nasoma nae darasa moja ila michepuo tofauti mimi nilikuwa PCB na yeye alikuwa CBG Kibaya zaidi sikuwahi kumtamkia kuwa nampenda nilikuwa naumia moyoni tu.

Baada ya matokeo kutoka(2010) alipata failure na mimi nilipata div iii yenye Principal pass moja nikaenda kusoma diploma ya mifugo(LITI, 2010-2012).

Wakati nikiwa chuoni bado moyo wangu ulikuwa unamfikiria sana huyu binti, mnamo mwezi 11/2011 nilitafuta namba yake kutoka kwa mmoja ya classmate wangu.

Ndipo nilipojipiga kifua na kumweleza hisia zangu kwake na kudai kuwa mbona muda wote huo sijawahi kumwambia nikamweleza kwa nini. Kuanzia hapo ikawa tunawasiliana hadi nilivyorudi chuoni mwezi wa 5/2012.

Nikampigia simu tuonane na kweli alikuja (frankly speaking i did with her) Bila kusahau nilishawahi kumuuliza kama ashawahi kuwa na mtu akanambia ndio lakini wameachana mda mrefu hakuniambia zaidi ya hivyo.

So moja ktk siku nilimwita aje cafe tupate juice alikuja na mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kuelekea miwili nilimuuliza ni wanani akadai ni ndugu yake yuko Zanzibar hatimae niligundua kuwa ni wake(shorten to save time).

Nilivo muuliza kwa nini alinificha akadai angenikimbiza mapema kama angeniambia (a lot ommited to save time) kimsingi binti ananipenda ajabu na nilishamuahidi kumuoa nikipata kazi na sasa nimeajiriwa na wizara ya mifugo na pia ni mwanafunzi wa veterinary Medicine year 1.

Kwa sasa binti anataka nimuoe kwani nimeshapata kazi lakini nagwaya kuwa ni sawa kwa umri wangu kuanza na binti mwenye mtoto? Zingatia binti nampenda sana kwani alivyo huwezi amini kuwa ana mtoto na yeye pia ananipenda.

Ushauri tafadhali kwani lengo langu mwaka huu usiishe nioe kama kuna mtu atataka maelezo zaidi ili anishauri barabara nitampatia.
 
Hbr wana jukwaa naomba mnishauri,Nilitokea kumpenda sana binti mmoja wakati niko A level nilikuwa nasoma nae darasa moja ila michepuo tofauti mimi nilikuwa PCB na yeye alikuwa CBG Kibaya zaidi sikuwahi kumtamkia kuwa nampenda nilikuwa naumia moyoni tu.Baada ya matokeo kutoka(2010) alipata failure na mm nilipata div iii yenye Principal pass moja nikaenda kusoma diploma ya mifugo(LITI, 2010-2012).wakati nikiwa chuoni bado moyo wangu ulikuwa unamfikiria sana huyu binti, mnamo mwezi 11/2011 nilitafuta namba yake kutoka kwa mmoja ya classmate yangu.Ndipo nilipojipiga kifua na kumweleza hisia zangu kwake na kudai kuwa mbona muda wote huo sijawahi kumwambia nikamweleza kwa nini.kuanzia hapo ikawa tunawasiliana hadi nilivyorudi chuoni mwezi wa 5/2012. Nikampigia simu tuonane na kweli alikuja (frankly speaking i did with her) Bila kusahau nilishawahi kumuuliza kama ashawahi kuwa na mtu akanambia ndio lakini wameachana mda mrefu hakuniambia zaidi ya hivyo.So moja ktk siku nilimwita aje cafe tupate juice alikuja mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kuelekea miwili nilimuuliza ni wanani akadai ni ndg yake yuko znz hatimae niligundua kuwa ni wake(shorten to save time) nilivo muuliza kwa nn alinificha akadai angenikimbiza mapema kama angeniambia (a lot ommited to save time) kimsingi binti ananipenda ajabu na nilishamuahidi kumuoa nikipata kazi na sasa nimeajiriwa na wizara ya mifugo na pia ni mwanafunzi wa veterinary Medicine SUA Y1 KWA SASA BINTI ANATAKA NIMUOE KWANI NIMESHAPATA KAZI LAKINI NAGWAYA KUWA NI SAWA KWA UMRI WANGU KUANZA NA BINTI MWENYE MTOTO??? ZINGATIA BINTI NAMPENDA SANA KWANI ALIVYO HUWEZI AMINI KUWA ANA MTOTO NA YEYE PIA ANANIPENDA.........USHAURI TAFADHALI KWANI LENGO LANGU MWAKA HUU USIISHE NIOE...Kama kuna mtu atataka maelezo zaidi ili anishauri barabara nitampatia.

Kizuri hajakuficha kuhusu mtoto. Wengine huja kujua baadae sana. La msingi ongea naye kuhusu huyo mtoto. Baba yake yuko wapi nk. Kubwa usiogope mtoto, unaweza ukaoa mkapata mtoto ndani ya ndoa kumbe sio wa kwako!
 
Hbr wana jukwaa naomba mnishauri,Nilitokea kumpenda sana binti mmoja wakati niko A level nilikuwa nasoma nae darasa moja ila michepuo tofauti mimi nilikuwa PCB na yeye alikuwa CBG Kibaya zaidi sikuwahi kumtamkia kuwa nampenda nilikuwa naumia moyoni tu.Baada ya matokeo kutoka(2010) alipata failure na mm nilipata div iii yenye Principal pass moja nikaenda kusoma diploma ya mifugo(LITI, 2010-2012).wakati nikiwa chuoni bado moyo wangu ulikuwa unamfikiria sana huyu binti, mnamo mwezi 11/2011 nilitafuta namba yake kutoka kwa mmoja ya classmate yangu.Ndipo nilipojipiga kifua na kumweleza hisia zangu kwake na kudai kuwa mbona muda wote huo sijawahi kumwambia nikamweleza kwa nini.kuanzia hapo ikawa tunawasiliana hadi nilivyorudi chuoni mwezi wa 5/2012. Nikampigia simu tuonane na kweli alikuja (frankly speaking i did with her) Bila kusahau nilishawahi kumuuliza kama ashawahi kuwa na mtu akanambia ndio lakini wameachana mda mrefu hakuniambia zaidi ya hivyo.So moja ktk siku nilimwita aje cafe tupate juice alikuja mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kuelekea miwili nilimuuliza ni wanani akadai ni ndg yake yuko znz hatimae niligundua kuwa ni wake(shorten to save time) nilivo muuliza kwa nn alinificha akadai angenikimbiza mapema kama angeniambia (a lot ommited to save time) kimsingi binti ananipenda ajabu na nilishamuahidi kumuoa nikipata kazi na sasa nimeajiriwa na wizara ya mifugo na pia ni mwanafunzi wa veterinary Medicine SUA Y1 KWA SASA BINTI ANATAKA NIMUOE KWANI NIMESHAPATA KAZI LAKINI NAGWAYA KUWA NI SAWA KWA UMRI WANGU KUANZA NA BINTI MWENYE MTOTO??? ZINGATIA BINTI NAMPENDA SANA KWANI ALIVYO HUWEZI AMINI KUWA ANA MTOTO NA YEYE PIA ANANIPENDA.........USHAURI TAFADHALI KWANI LENGO LANGU MWAKA HUU USIISHE NIOE...Kama kuna mtu atataka maelezo zaidi ili anishauri barabara nitampatia.

Kuna mtu kakwambia hakuna tatizo acha woga! Tatizo lipo: Mila zenu zinasemaje, kama kuoa kayamba sio fedheha, endelea na kuoa! Nasema hivyo maana makabila mengine ukioa kayamba wewe huthaminiki- anyway inawezekana usiyajali hayo go on with your plans.

Ila nakuhakikishia, uroho, kirokoroko cha "K" kikiisha huko mbele sana ya safari utaanza ku-reflect mwenzako alivyomvuruga mpaka kazalisha, itakuwa taabu, itakudisturb sana hapo baadaye. Hiyo ni sheria ya historia, iko hivyo hutaibadilisha! Mafanikio mema!
 
Kuoa binti mwenye mtoto sio dhambi......mnapendana mmekubaliana kuwa na taarifa sahihi kutoka kwa mama kuhusu mtoto
 
Mmmhhh sidhani kama kuna dhambi kuoa binti ambaye amezaa.Hivi mwanaume nae akiwa ameshawahi zalisha huko nje na anataka kuoa cjui inakuwaje.
 
Heaven watu wabafanya hivyo kutaka kujua umejibiwa nini. Short of that inabidi u-scroll all the way down the thread kuona amekujibu nini!

ka umeanzisha thread utafatilia page kwa page kusoma ushauri wa wadau.... au subscribe sasa hapa watatu msha quote thread yote....
 
Acha umbulula ww.....!!!??????? Kwan mtoto ana shida gan...... au unataka wale wenye watoto 10 lakn wakazalia chooni.????? Acha bange....
 
Mimi huwa sina ushauri kama mtu anakupenda na wewe unampenda muoe tu
 
subiri wapasha kiporo waje kukusaidia ushauri jadidi, Kongosho hebu funguwa ile ofisi haraka maana tutashauri hapa kila siku kitu kimoja tu.
 
Last edited by a moderator:
Binafsi sioni shida ya kuwepo mtoto coz kile ni kiumbe na hakina kosa, shida ni hawa wazazi wawili watakaonivurugia nyumba. Tunashuhudia yakitokea kila siku, huwa wengi hawaachi kukutana na kukumbusha.
 
Kuwa na mtoto si tatizo maadam mnapendana muoane
 
Heee!!! Kwan kuwa na mtoto ugonjwa!!!!!!! Kama unampenda sasa unawaza mara mbl mbl ktu gan?? Kama unampenda nae anakupenda beba zgo kagegede any time
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom