Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
KUNYWA MAJI BAADA YA KUSIKIA KIU NI KUJIANDALIA KIFO CHA MAPEMA NA CHENYE MAUMIVU SANA:
Muda gani unamwagilia maji bustani yako? Kwa hakika ni asubuhi au jioni na si saa nane mchana wakati jua tayari likisha kuwa kali – la sivyo mimea itakufa. Pia ukitembea umbali mrefu na gari na ghafla maji yakaisha katika injini haushuki tu na kuongeza mengine papo kwa papo, utasubiri injini ipowe ndipo uongeze mengine – la sivyo injini ya gari (ambayo ni chuma) itakufa.
Hivyo binadamu kuendelea kusubiri kiu au mdomo ukauke ndipo anywe maji, huwa anajiandalia kifo mwenyewe cha mapema na chenye maumivu sana. '‘Mwili wa binadamu unapopungukiwa maji hutoa ishara (indicators), tumeziita ishara hizo kuwa ni magonjwa, hauumwi, una kiu, usiitibu kiu na madawa – dr. fereydoon Batmanghelidj''.
Hivyo magonjwa kama maumivu, pumu, aleji/mzio, shinikizo la damu, kisukari, utipwatipwa, kansa, kuzeeka mapema na mengine mengi; yote haya ni ishara tu za mwili kutuambia kuwa tunapungukiwa maji, yaani tunaumwa kiu!!.
Kiu hutibika kwa maji tena bila gharama yeyote!.
Magonjwa ni moja ya maadui wetu watatu tuliotangaza kuendelea kupigana naye mpaka tumshinde mara baada ya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni mwaka 1961. Ni zaidi ya nusu karne sasa bado tungali na adui huyu anayezidi kutia hofu mamilioni ya watu.
Maajabuyamaji.com inaitaja sababu ya maradhi kuendelea kututesa kuwa ni mazoea yetu kusubiri kiu ndipo tunywe maji. Inajulikana wazi kuwa maji ni uhai. maajabuyamaji.com inafafanua sababu za maji kuitwa ni uhai, inaeleza madhara yatokeayo mwilini inapotokea tunaipa miili yetu maji ya mgawo (yaani tunapokunywa maji baada ya kusikia kiu).
Kumbe kwa kutumia maji tu yale tunayoyanywa kila siku tunaweza kujikinga na kujitibu magonjwa mengi bila idadi na hatimaye kumshinda adui maradhi na hivyo kujipunguzia gharama sisi wenyewe na serikali kwa ujumla.
maajabuyamaji.com inafundisha pamoja na mambo mengine: kazi za maji mwilini mpaka kuitwa ni uhai, namna mpya ya kuitambua kiu, na namna ya kunywa maji ili kujikinga na kujitibu na maradhi mbalimbali.
Hakuna anayependa kuugua, awe daktari, askari, kiongozi wa serikali au wa dini, mwandishi au mtangazaji, mfanyakazi au mkulima. Tovuti yako ya maajabuyamaji.com inapenda kushirikisha vyombo vya habari na wadau wengine katika kuelimisha hili, moja ya kazi mhimu za chombo cha habari ni kuelimisha jamii kwa manufaa ya jumla ya jamii nzima, kwa sababu hii tunakitoa bure kitabu cha kieletroniki (e-book) kinachoeleza kwanini kusubiri kiu ndipo tunywe maji ni kujiandalia kifo mapema na chenye maumivu sana. Kitumieni hicho kama mwongozo (user manual) wenu.
Tuendelee kusherehekea miaka 50 ya uhuru tukiwa tayari na silaha ya kumshinda adui maradhi kwa kutumia maji tu.
attached: maajabu ya maji e-book, download it for free