Kigoma 2015
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 371
- 93
Duuh....
Mambo haya watu si wanayazungumza humuhumu na kwenye JLW ndo nimeyafahamu huko lakini sijawahi kutizama picha za X
mke wng kajifungua hana ata mwezi,si mpaka miaka miwili ipite ndio na mimi niwe baby?
Utandawazi huu utatupeleka mahali pabaya matiti yaliwekwa ili wawe wananyonya watoto tu .Lakini nashangaa siku hata watu wazima wananyonya maziwa ya watoto.Mbona kinyaa.Nikija kulala na mwanamke siwezi kunyonya matiti .Ni kinyaa kwa kweli.
Nimecheka sana!ww ni mgeni na hayo mambo ila siku ukijaribu hutaacha!ushamuona beberu?Kunyonya hiyo kitu watu tu wanazungumza tu lakini sidhani mtu mwenye akili timamu anaweza kunyonya hiyo kitu.Watu wanazungumza tu .LAKINI KIUKWELI KUNYONYA HIYO KITU KWA WATU WENYE AKILI TIMAMU HAIWEZEKANI
Niwapi iliandikwa kuwa ni chakula cha mtoto tuu.... Huijui raha waipatayo wanaume kwa kunyonya titi
ninyonyeni mimi sitaki cancer jaamani
ninyonyeni mimi sitaki cancer jaamani
Unaongelea maziwa kimininika au .......??sio lazma paandikwe ndo uhalisia dume zima wanyonya maziwa na mtoto anyonye wapi hata kama ni raha hyo ni special kwa watoto
Kunyonya hiyo kitu watu tu wanazungumza tu lakini sidhani mtu mwenye akili timamu anaweza kunyonya hiyo kitu.Watu wanazungumza tu .LAKINI KIUKWELI KUNYONYA HIYO KITU KWA WATU WENYE AKILI TIMAMU HAIWEZEKANI
ukikua utanyonya mpaka nanihiii nini matitiUtandawazi huu utatupeleka mahali pabaya matiti yaliwekwa ili wawe wananyonya watoto tu .Lakini nashangaa siku hata watu wazima wananyonya maziwa ya watoto.Mbona kinyaa.Nikija kulala na mwanamke siwezi kunyonya matiti .Ni kinyaa kwa kweli.
kuja kipande ya huku aisee!!!ninyonyeni mimi sitaki cancer jaamani
nyie ndo huwa mnalalamikiwa na wake zenu hamuwafikishi! sasa wewe mwanamke unamwandaaje maana kama matiti ni kinyaa na uvinza ndo utakimbia kabisa. wewe jiandae mke wako kusaidiwa. tena washenzi huko nje wakishajua wananyonya kila sehemu inayostahili kunyonywa hapo ndo ukute mke hajawahi kunyonywa na mme wake ndo kwa heri hiyo mkuu! ila ujue mapenzi ni uchafu na wanaofanya katika level hiyo ndo hao unasikia kila siku wanasifiwa. ushauri wa bure