Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,204
- 885
Sote au baadhi ya jamii wakifiwa na mtu wao wa karibu huwa wanaambiwa au hunyoa kipara. Sisi tuliambiwa maana yake mzimu wake usije ukawa unakula na sisi. Hadi kuleta uzi huu maana hali ya kunyoa kipara msibani sijajua. Karibuni kwa michango.