Elijah
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,663
- 416
ukishaoa au kuolewa tendo la ndoa ni wajibukama umeoa na siku moja mkeo anakuambia hawezi kukupa tendo la ndoa kwavile hana uhakika ikiwa unampenda utafanayaje?
pia nini haswa kinachofanya mtu aseme anapenda na ikiwa mahusiano yenu kwa mambo mengine yako sawa yaani hamjawahi kugombana wala nini imefika usiku muheshimiwa unadai chakula cha usiku mkono unatolewa unatupwa huko ukiuliza kulikoni ndio unajiwa kuwa huwezi kupewa chakula cha usiku kwavile huyo mkeo hajui ikiwa unampenda !!!