jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 4,628
- 11,942
Umenifumbua macho, sinunui tena simu zinazouzwa na makampuni ya mitandaoHaujapigwa mkuu simu iko poa na bei ni sawa, mambo mengine inategemea na mtu binafsi, kwa mfano mimi sipendi simu zenye fingerprint nyuma, pia sipendi simu zinazouzwa na makampuni ya mitandao km tigo, voda n.k
Mengineyo ni umakini wako tu ila generally simu siyo mbaya kwa bei hiyo.