Kununua Xiaomi redmi 10C

Kununua Xiaomi redmi 10C

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,710
Reaction score
10,234
Wakuu na mpango was kununua simu tajwa ikiwa na Ram ya 4 na Rom 128Gb kwa 350k
Hivyo bas kama kuna yeyote mwenye uzoefu na hizi simu naomba ushauri
Pia kwa yeyote anayejua, simu nzuri zaidi ya, hii kwa bajeti hio naomba, ashee hapa

NB. Nataka simu mupyaaaa
Screenshot_20220603-215003.jpg
 
Wakuu toeni maoni nayasubiri hapa
 
Haujapigwa mkuu simu iko poa na bei ni sawa, mambo mengine inategemea na mtu binafsi, kwa mfano mimi sipendi simu zenye fingerprint nyuma, pia sipendi simu zinazouzwa na makampuni ya mitandao km tigo, voda n.k
Mengineyo ni umakini wako tu ila generally simu siyo mbaya kwa bei hiyo.
 
Ni simu nzuri Sana. Tatizo cover yake mtaani ni changamoto kuzipata lakini Kwa ujumla ni simu nzuri Sana, pengine unawezakuta dukani zimeisha
 
Back
Top Bottom