Kama akina prof Mukandara bado wanaongezewa mwaka baada ya kustaafu, hv ww mtoto wa mkulima wa korosho unasoma ili ukaajiriwe wapi? Wapo Wengi Wa Aina Hiyo.
Kusoma hadi chuo kikuu nchi hii ni kuusaka uzee wenye shida, kwasbb utapata kuwajua wapiga dili nawe hutapiga dili utabaki kulalama jf na kufa mapema bure.
Kusoma hadi chuo kikuu nchi hii ni kuusaka uzee wenye shida, kwasbb utapata kuwajua wapiga dili nawe hutapiga dili utabaki kulalama jf na kufa mapema bure.